Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
...unauchukuliaje msimamo baba mkwe au mama mkwe anapokataa kata kata binti yake asiolewe na fulani, au mwanawe (wa kiume) asimuoe fulani.
...ni sahihi kwa wachumba hao kuoana bila ridhaa ya mzazi/wazazi hao?
...kwa experience yako, nini 'repercussions' za maamuzi hayo?
...ni sahihi kwa wachumba hao kuoana bila ridhaa ya mzazi/wazazi hao?
...kwa experience yako, nini 'repercussions' za maamuzi hayo?