Mtoa mada nadhani huo ni mtazamo wako tu kuwa hawana kazi za kufanya.
Na ukitazama kwa mtazamo wako utaona hata mkuu wa mkoa hana kazi.
Mkuu wa wilaya ni mtawala aka ovaroli inchaji, ze resti ni watendaji
Kuhusu ukihiyo kwa mujibu wa chama chako cdm elimu sio issue, na ndio maana 2005 mlisimamisha form six urais na pia ni m/k wenu, zuma pia kihiyo kama alivyo Arfi, mgombea mwenza wa slaa, naibu katibu mkuu nk