BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 762
Kwanini Serikali inaendelea kukumbatia wakuu wa wilaya na hawana kazi yeyote ile ya kufanya. Si cheo cha kisiasa wala cha kiutendaji ni mvurugano tu ndani ya wilaya kwani huwa ni wasumbufu kwa wakurugenzi na ukizingatia wengi ni NI VIHIYO.
Basically maofisa wanao report kwa mkuu wa wilaya ni Makatibu tarafu, DAS na wahudumu wa ofisi (wafagizi na wapika chai)
Wilayani DAS anatosha kabisa kuunganisha idara kama polisi, magereza, jeshi, Ulinzi na halmashauri.
This is serious issue and I dont know how we can go about it for a solution. Tukifanikiwa kuondoa hiki cheo tunaweza piga hatua katika maendeleo ya nchi yetu
Basically maofisa wanao report kwa mkuu wa wilaya ni Makatibu tarafu, DAS na wahudumu wa ofisi (wafagizi na wapika chai)
Wilayani DAS anatosha kabisa kuunganisha idara kama polisi, magereza, jeshi, Ulinzi na halmashauri.
This is serious issue and I dont know how we can go about it for a solution. Tukifanikiwa kuondoa hiki cheo tunaweza piga hatua katika maendeleo ya nchi yetu