Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,425
- 30,945
Katika kundi ambalo ni hopeless katika nchi hii kwa mtazamo wangu ni walimu.
Hata wakusanyike laki mbili wote nchi nzima watakuja na maazimio hopeless na yasiyo na tija.
Jiulize vikao hivi vya kila mwisho wa mwaka na jafo vinatija gani ni ujinga mtupu mkusanyiko wa executives elfu mbili kuja na maazimio madogo Kama kujenga ukuta wa shule.
Walimu wa Tanzania ni kielelezo Cha kufeli kwa taifa hili na ndio maana ni ngumu CCM kuondoka madarakani.
Ualimu wa kikoloni ulimzalisha nyerere na mwinyi walijitahidi.
Media hub ya makerere ikamzalisha mkapa Mambo yalikuwa supa.
Jeshi letu adhimu likamzalisha jakaya super kabisa.
Sasa walimu wametuletea walimu wenzao kule top two daaah ni majanga kwa taifa aisee.
Mungu anisamehe walimu wa tz sijui nawaonaje aisee binti yangu Mungu aapishie mbali asijeolewa na jialimu.
Hata wakusanyike laki mbili wote nchi nzima watakuja na maazimio hopeless na yasiyo na tija.
Jiulize vikao hivi vya kila mwisho wa mwaka na jafo vinatija gani ni ujinga mtupu mkusanyiko wa executives elfu mbili kuja na maazimio madogo Kama kujenga ukuta wa shule.
Walimu wa Tanzania ni kielelezo Cha kufeli kwa taifa hili na ndio maana ni ngumu CCM kuondoka madarakani.
Ualimu wa kikoloni ulimzalisha nyerere na mwinyi walijitahidi.
Media hub ya makerere ikamzalisha mkapa Mambo yalikuwa supa.
Jeshi letu adhimu likamzalisha jakaya super kabisa.
Sasa walimu wametuletea walimu wenzao kule top two daaah ni majanga kwa taifa aisee.
Mungu anisamehe walimu wa tz sijui nawaonaje aisee binti yangu Mungu aapishie mbali asijeolewa na jialimu.