UNDULE ROBERT
Member
- Jan 24, 2011
- 27
- 2
Katika bunge lililopita ilipendekezwa wakuu wa mikoa kuwa sehemu ya nidhamu ya mahakama. Tundu lissu alipinga kwa nguvu zote lakini hakusikilzwa. Wana jf mbona kimya? Pia hatujasikia maoni ya tls. Je tunaelekea wapi na huu mhimili muhimu?