habari wakuu?
Mambo ya UDSM ndio kama mlivyosikia wakuu...
sasa kuna hizi scholarship za wadosi kama 18 hivi mwaka huu sijaona tangazo kabisa kwenye website yao ie. 12/13...
Nataka niombe nikauze nyago kwa wadosi maana kwa mkandala sirudi na siasa zake uchwara ananyanyasa manguli wa elimu nchini...
nawasilisha..!