wakuu vipi kuhusu scholarship za wadosi mwaka huu?

eliesikia

JF-Expert Member
Oct 29, 2010
787
755
habari wakuu?

Mambo ya UDSM ndio kama mlivyosikia wakuu...
sasa kuna hizi scholarship za wadosi kama 18 hivi mwaka huu sijaona tangazo kabisa kwenye website yao ie. 12/13...

Nataka niombe nikauze nyago kwa wadosi maana kwa mkandala sirudi na siasa zake uchwara ananyanyasa manguli wa elimu nchini...

nawasilisha..!
 

pole sana , mkuu
 
jibuni swali wakuu mtoto wa kiume hupimwa kwa ushujaa sio pole kama kafiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…