Wakuu sitaki ushauri , naitaji connection

Wakuu sitaki ushauri , naitaji connection

BWANA WANGU

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2018
Posts
365
Reaction score
850
Kama bango linavyo jieleza wakuu.

Nimeshachukua ma ushauri kibao nimeyafanyia kazi lakini wapi,utasikia CV yako andika hivi , nenda kwenye kampuni X kapeleke CV , nakutumia tangazo la kazi u apply, zote zinagonga mwamba

Inauma sana umetoka zako asubuhi unaenda kwenye ofisi kupeleka CV alafu inaishia kwa mlinzi

Ombi langu ni moja wakuu kwa unyenyekevu naombeni connection ya kazi /kujitolea sehemu yeyote dar es salaam au mkoani . Fani yangu MECHANICAL ENGINEER nipo Dar

Karibu PM ipo wazi wakuu

Asanteni ,muwe na usiku mwema .
 
Asante ila sitaki pesa naitaji connection tu.
Sawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.

So, I was trying kulipa fadhila via same style.

Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday
 
Sawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.

So, I was trying kulipa fadhila via same style.

Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday
Duh! Labda atakua frustrated 🤣🤣ila atakuja PM kimya kimya
 
Sawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.

So, I was trying kulipa fadhila via same style.

Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday
Mungu akubariki na akuzidishie kwa moyo wako mzuri mkuu , najua lengo lako ni zuri ila kwa sasa omba mtu atakaye ni connect na mchongo .
 
Kama bango linavyo jieleza wakuu.

Nimeshachukua ma ushauri kibao nimeyafanyia kazi lakini wapi,utasikia CV yako andika hivi , nenda kwenye kampuni X kapeleke CV , nakutumia tangazo la kazi u apply, zote zinagonga mwamba

Inauma sana umetoka zako asubuhi unaenda kwenye ofisi kupeleka CV alafu inaishia kwa mlinzi

Ombi langu ni moja wakuu kwa unyenyekevu naombeni connection ya kazi /kujitolea sehemu yeyote dar es salaam au mkoani . Fani yangu MECHANICAL ENGINEER nipo Dar

Karibu PM ipo wazi wakuu

Asanteni ,muwe na usiku mwema .
Njoo tusafiri wote kwenye Lori.
Kila tunaporudi Dar hukosi rizki kama ukijiongeza naweza kukuruhusu gunia mbili tatu za kiazi.
 
Connection ni kuitengeneza mwenyewe Mkuu niamini mimi, unaweza kuconnectiwa na wadau msiendane pia.

Mimi natoa ushauri tu, badili mfumo wa maisha na ikiwezekana hama mkoa kabisa, ila hama kimkakati yaani utakapoenda kuwe na unachokifuata.

Ibuka kwenye events kam marathon, festivals na mambo kama hayo ukuwa na lengo la kujihusisha na wadau.

Hata kwenye ma garage wewe ibuka huko utakutana ba watu wa mazingura yako Mkuu. Jichanganye tu hayo maeneo ukuwa smart utaonekana tu Mkuu.

Zaidi ya yote kuwa humble sana Mkuu.
 
Sawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.

So, I was trying kulipa fadhila via same style.

Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday
Mkuu kama hutojali naomba unichangie mimi.
 
Connection ni kuitengeneza mwenyewe Mkuu niamini mimi, unaweza kuconnectiwa na wadau msiendane pia.

Mimi natoa ushauri tu, badili mfumo wa maisha na ikiwezekana hama mkoa kabisa, ila hama kimkakati yaani utakapoenda kuwe na unachokifuata.

Ibuka kwenye events kam marathon, festivals na mambo kama hayo ukuwa na lengo la kujihusisha na wadau.

Hata kwenye ma garage wewe ibuka huko utakutana ba watu wa mazingura yako Mkuu. Jichanganye tu hayo maeneo ukuwa smart utaonekana tu Mkuu.

Zaidi ya yote kuwa humble sana Mkuu.
Yaani huu muda wote wakufanya haya ni bora ajiajiiri ili aajiri connection.
 
Kama bango linavyo jieleza wakuu.

Nimeshachukua ma ushauri kibao nimeyafanyia kazi lakini wapi,utasikia CV yako andika hivi , nenda kwenye kampuni X kapeleke CV , nakutumia tangazo la kazi u apply, zote zinagonga mwamba

Inauma sana umetoka zako asubuhi unaenda kwenye ofisi kupeleka CV alafu inaishia kwa mlinzi

Ombi langu ni moja wakuu kwa unyenyekevu naombeni connection ya kazi /kujitolea sehemu yeyote dar es salaam au mkoani . Fani yangu MECHANICAL ENGINEER nipo Dar

Karibu PM ipo wazi wakuu

Asanteni ,muwe na usiku mwema .
Staki kukuvunja moyo ila kwaiyo fani yako mechanical kupata connection ngumu sana

Ila muombe sana Mungu milango itafunguka

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom