Wakuu sitaki ushauri , naitaji connection

Wakuu sitaki ushauri , naitaji connection

Connection ni kuitengeneza mwenyewe Mkuu niamini mimi, unaweza kuconnectiwa na wadau msiendane pia.

Mimi natoa ushauri tu, badili mfumo wa maisha na ikiwezekana hama mkoa kabisa, ila hama kimkakati yaani utakapoenda kuwe na unachokifuata.

Ibuka kwenye events kam marathon, festivals na mambo kama hayo ukuwa na lengo la kujihusisha na wadau.

Hata kwenye ma garage wewe ibuka huko utakutana ba watu wa mazingura yako Mkuu. Jichanganye tu hayo maeneo ukuwa smart utaonekana tu Mkuu.

Zaidi ya yote kuwa humble sana Mkuu.
Nimeipenda hii mkuu , hakika umenena nitayafanyia kazi.
 
Sawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.

So, I was trying kulipa fadhila via same style.

Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday
I feel your Pm now
Floods ya maana mmq
 
Njoo tusafiri wote kwenye Lori.
Kila tunaporudi Dar hukosi rizki kama ukijiongeza naweza kukuruhusu gunia mbili tatu za kiazi.
Taniboy sio

Aisee nyie achen huo mziki wake si wa kitoto
 
Sawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.

So, I was trying kulipa fadhila via same style.

Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday
Nipe mimi nikanunue dawa maumwa malaria dawa 10,000tsh,na matunda na maji utanisaidia sana
 
Sawa kijana, naona sio riziki yako kwa leo, umepishana na Tsh. 50,000/= ya kitanzania niliyotaka nikutumie ikusaidie kwenye hustles zako za kutafuta kazi maana hata na mie nimewahi saidiwa hapahapa JF na mtu nisiyemfahamu.

So, I was trying kulipa fadhila via same style.

Kwa kuwa umekataa, let me keep it safe for the right person someday
Mtumie plz!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom