Wakuu sitachoka kulalamika kwa hili

Wakuu sitachoka kulalamika kwa hili

Riz king

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
274
Reaction score
549
Nilijitahidi sana Diploma nikapata ka GPA kangu kidogo kazuri. Ila wazazi wakulima wa kubangaiza sana. Sasa ndoto ni kuwa daktari lakini huwezi kuamini nimekosa mkopo.

Sasa sina namna na nilichaguliwa MD UDOM. Mimi narudi nyumbani nikalime tu.
 
We vumilia tu utapata si wengine tulikaa mwaka mmoja nyumbani kwahiyo kuwa mpole usikate tamaa omba tena mwakani endapo ukikosa sahivi
 
Dogo acha kuwa na negative mind. Wewe sema mambo ya kulima utalima kweli.

Kama kweli umefaulu vizuri chukua admission letter, copies za matokeo yako, barua iliyo na mashiko na barua inayokutambulisha kutoka serikali za mitaa
Pita navyo katika ofisi hizi:
:Wizara ya Afya
:Ofisi ya RC DSM-Makonda
:Mtafute Dr.Isaac Maro wa Clouds
:Makanisa ya Lutheran na Catholic Dar


Uzuri UDOM ada sio kubwa

Acha kulalamika. Fight for your bright future.
 
Alafu awamu bado nyingi iko mpaka ya tisa hivi, ila kuanzia ya tano wanapeleka majina chuoni.
 
Kama umepata kweli fanya process za kupata admission halafu hairisha hata mwaka, nenda kalime utafute hela ya kujisomesha. Huwezi jua competition ya mwaka ujao itakuwaje.
Kajichange, watoto siku hizi wanaenda kubembea kindergarten kwa million tatu, wewe hiyo million 2 itakushindaje.
 
Bora wewe hata ukikosa una diploma unaweza ukapata kazi. Wenzio waliotoka form 6 hawana profession yoyote, watabaki kuzurura mitaani. Endelea kusubiri labda utafanikiwa batch zijazo.
 
Bora wewe hata ukikosa una diploma unaweza ukapata kazi. Wenzio waliotoka form 6 hawana profession yoyote, watabaki kuzurura mitaani. Endelea kusubiri labda utafanikiwa batch zijazo.
Ashukuru ana kitu cha kujishikza sehemu ajarb kufkiria fom 6 akikosa atakwa mtaan tu.
 
Nilijitahidi sana Diploma nikapata ka GPA kangu kidogo kazuri. Ila wazazi wakulima wa kubangaiza sana. Sasa ndoto ni kuwa daktari lakini huwezi kuamini nimekosa mkopo.

Sasa sina namna na nilichaguliwa MD UDOM. Mimi narudi nyumbani nikalime tu.
Never give up kaka angu,maana Mungu hamtupi mja wake one day yes keep it up.
 
Nenda chuo karipoti halafu u postpone maana mwakani unaweza usiipate tena hiyo nafasi. Halafu mkuu si una diploma na gpa ipo vizuri sasa unalalamika nini badala ya kwenda kutafuta vibarua. Utoto bwana
 
Hv kulimaa n kwajili ya watu waloshindwa??? Mbn tunakuwa na mitazamo ya kipuuz
 
Back
Top Bottom