kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,275
- 1,698
siri imefichukaJamiiForums - Where we Dare to Talk Openly hii kozi umeimaliza baada ya kufeli form 4
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa acha uhuni.Ntakukata makofi hapohapo ulipohoo!please Nawataka watanzania tu ndiyo wanipe ushauri na maoni nyinyi wakenya vipi tena
please Nawataka watanzania tu ndiyo wanipe ushauri na maoni nyinyi wakenya vipi tena
- Hotel - angalia googe
- Amani - Ili uwe na amani inabidi uwe muoga.
- Hali ya hewa - kwa sasa jua ni kali ila tunatarajia mvua zitaanza soon
- Uhuru wa kutembea - unaweza kutembea popote ila wakijua wewe ni mgeni utapigwa kabali hata na mama muuza vitumbua ama na polisi wenye njaa kali kuliko mamba.
jamaa mbwigaJamiiForums - Where we Dare to Talk Openly hii kozi umeimaliza baada ya kufeli form 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una marafiki wengi wa Tz huku ulikuja kuomba ushauri wa nini?Nilijaribu kuleta habari hii kwa njia iyo kwa sababu nina marafik wengi wa tanzania pia kuna vitu navijua kuhusu tanzania
naona unanyonya pipi. Njoo huku utanyonya mshedede. Au ndo nyie wafuasi wa lisu mnaanza kuingia kwa staili hiyo mkileta mapenzi ya jinsia moko? Watanzania hatujaribiwagi.Habari watanzania !!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 naishi Norway now ila napenda sana kutali nimefika nchi nyingi tu kama Egypt mali na tunisia. Nikiwa mdogo sana nilikuwa na wazazi wangu katika safari zote hizo. Mimi nina asili kidogo ta tanzania
♠Hotel zinakuwaje yani bei?
♠Amani yake ipo vipi ?
♠Hali ya hewa yani jua sio kali sana kama Nigeria
♥Uhuru wa kutembea
Naombeni msaada please
cityzen chairman am here
Hahahaha