mzungu wa roho
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 209
- 140
Wakuu mimi nina girlfriend ambaye ni mwanafunzi wa chuo fulani, huyu mwanamke mara nyingi amekuwa akinidai nimpatie matunzo kama vile pesa, simu, pesa ya kusukia na mahitaji mengine lakini vyote hivyo kwa uwezo wangu mimi nashindwa ukizingatia kwamba mimi ni bado mwanafunzi na sijaingia rasmi kwenye utafutaji.
Naombeni msaada wakuu nifanyeje? Nimjibuje? Pia ni sawa kumpatia hata kwa kiwango kidogo? Ni haki yake au ni uamuzi wangu kwakua bado sijamuoa?
Naombeni msaada wakuu nifanyeje? Nimjibuje? Pia ni sawa kumpatia hata kwa kiwango kidogo? Ni haki yake au ni uamuzi wangu kwakua bado sijamuoa?