Wakuu naomba msaada. Hapa tatizo ni nini?

Wakuu naomba msaada. Hapa tatizo ni nini?

Kitondo

Member
Joined
Jul 10, 2019
Posts
62
Reaction score
145
Natumia Exim Bank Pre paid Card, kwa kazi hasa ya kuhamisha pesa (top up )kutoka bank kwenda account yangu ya Scrkll ili nitume nje in USD. Lakini cha ajabu katika hatua ya mwisho tu pale kwenye kutuma naambiwa transaction failled.There has been an error in proccessing your request.

Cha ajabu ni kuwa hata Visa card ya Barclays ilikuwa hivo hivo nikaona niende Cim na wakaniambia nkitumia Pre paid account haitasumbua chochote. Jamani nisaidieni mambo hayaendi kabisa wakuu.

Screenshot_20191201-125527.jpg
Screenshot_20191201-125527.jpg .
 
Je nini kinasababisha?Kuna anae tumia skrill hapa bongo na anafanikiwa vizuri tuu kuweka pesa kutoka kwenye account yake???
 
kwa kazi hasa ya kuhamisha pesa(top up )kutoka bank kwenda account yangu ya Scrkll ili nitume nje in USD.
Ni jambo la kawaida kutokea kwa hii msg iwapo.
- Internet connection sio stable.
- Server zitumikazo kuwa down
1575198626819.png


Je nini kifanyike litokeapo hili

- Jipe muda japo wa saa chache kisha rudia tena
- Badili browser mfano kwa mimi muda mwingi hutumia chrome browser, ikitokea nimepata huu ujumbe huwa nafanya kubadili browser, naweza tumia opera au firefox narudia kufanya muamala na unafanikiwa.
1575198683998.png


Huu muamala pichani nimeufanya dakika 3 zilizopita, angalia dakika za hii post na dakika za kwenye hii screenshot.

- Mwisho iwapo umefanya muamala kwa njia ya simu / kwa kutumia app yao ukapata tatizo basi tumia PC.
 
kuu ni webite gani ulita kutuma hizo pesa
Alitaka kujitumia fedha toka benki [ Visa card ] kwenda kwenye Skrill eWallet yake.

Kujibu swali lako; ni website gani, Jibu ni SKRILL .COM
 
Je nini kinasababisha?Kuna anae tumia skrill hapa bongo na anafanikiwa vizuri tuu kuweka pesa kutoka kwenye account yake???
Huwa natumia kila siku, Tena zaidi ya mara Tano kwa siku.
 
Back
Top Bottom