hustler009
Member
- May 27, 2019
- 5
- 5
Maisha popote wakuu nimeamua kujilipua huko ingawa kuna mauaji yanayoendelea kwa wageni,mimi kama mwanaume siwezi ogopa kutake risk yoyote ili mradi hela ipatikane kwa njia yoyote ile.
Nimechoka na haya maisha ya bongo jua kali hela hamna huku kazi nafanya kwa nguvu zote ila mafanikio dhidi ya juhudi zangu siyaoni ,hivyo kwa yeyote anayeweza kunipa mchongo wa kufanya nje ya tz hasa kwa madiba basi aje tuyajenge pm nko tayari kufanya kazi yoyote ile,natanguliza shukrani
Nimechoka na haya maisha ya bongo jua kali hela hamna huku kazi nafanya kwa nguvu zote ila mafanikio dhidi ya juhudi zangu siyaoni ,hivyo kwa yeyote anayeweza kunipa mchongo wa kufanya nje ya tz hasa kwa madiba basi aje tuyajenge pm nko tayari kufanya kazi yoyote ile,natanguliza shukrani