Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 10,065
- 14,701
Kuna taa flani hivi ndogo na zinakua zimefungwa nyingi nimekua nikiziona kwenye malls/supermarkets nyingi na hotel zina kama mwanga wa jua hivi na hata ukisogelea ule mwanga unachoma hivi sasa nauliza hizi taa ni bei gani?
Je zinatumia umeme wa TANESCO huu
Naomba kujuzwa pia samahani kwani sijizijui jina hizi ila zimenivutia kuzifunga ndani.
Je zinatumia umeme wa TANESCO huu
Naomba kujuzwa pia samahani kwani sijizijui jina hizi ila zimenivutia kuzifunga ndani.