Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 20,590
- 44,415
Sasa angekua muwazi asaidiwe, ushauri kwa me/ke unatofautiana. Aseme jinsia yake ni ipi.Kuna harufu ya mtu kuchapiwa kwenye huu uzi. Mleta mada ni me/ke ambae amechapiwa na jirani yake sasa ndio kaja kulia lia humu. Kasahau kabisa kwamba kuchapiwa ni siri ya ndani.
Ila kuchapiwa ni kwa me bna, na assume ni me, mkuu umethibitisha hilo au ndio maneno ya kitaa tu, kama umethibitisha pasi na shaka huyo mke hakufai aisee. Kucheat na mtu wa karibu si kitu chema kwenye maisha yenu, vipi kama wana njama nnje ya hiyo kwasababu wote wanakujua nnje ndani ila wanakuchora tu.
! kosa ni kosa tu.