Wakuu huyu ni nani? Alikuwa anavaa sare za chama lakini sasa yupo na Rais

Huyu.....

Ndio huyu....


Hapana sikubali.
Sio Mkuu huyu ni Mwingine Hao Detail Leader Huambatana Na Raisi Post ya juu nimesema wapo watatu tofauti, Huyo wa Gwanda ni Aide De Camp (ADC) habadiliki

Angalia Chini huyu ni Mwingine
 
Kumbe TISS ni idara ya CCM?
Ni hivi, mgombea wa Urais anaepitishwa na Chama Tawala anakuwa pia amepata endorsement ya TISS kwamba anafaa.

Hivyo, anakuwa spotted na TISS pia na Wanakuwa na wajibu wa kuhakikisha usalama wake from that moment. Ndiyo maana uliona hilo la huyo jamaa.
 
Kuna pia yule mtaalamu wa kike,ambaye miezi mitatu ya kwanza kuanzia siku ya kuapishwa JPM ,nafikiri siku hizi yupo na mamaJaneth. Naye si haba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…