Wakuu hii imekaaje?

Wakuu hii imekaaje?

Nafanya kazi na wachina

Sasa jana nikawa najihisi vibaya nikasema ngoja nikalale nijipumzishe hadi mda wa kutoka job kwenye chumba cha mchina.

Aisee nimekuta shangazi kaja 3 zimejaa pesa full
Ungebeba Shangazi Kaja moja ukatoboa kimaisha wewe acha UJINGA.
 
Nafanya kazi na wachina

Sasa jana nikawa najihisi vibaya nikasema ngoja nikalale nijipumzishe hadi mda wa kutoka job kwenye chumba cha mchina.

Aisee nimekuta shangazi kaja 3 zimejaa pesa full
Bahati haiji mara mbili mkuu chomoka na fuko Moja Hilo chapu
 
Back
Top Bottom