King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,359
- 88,543
Ungebeba Shangazi Kaja moja ukatoboa kimaisha wewe acha UJINGA.Nafanya kazi na wachina
Sasa jana nikawa najihisi vibaya nikasema ngoja nikalale nijipumzishe hadi mda wa kutoka job kwenye chumba cha mchina.
Aisee nimekuta shangazi kaja 3 zimejaa pesa full