Mme Mwenza
JF-Expert Member
- Feb 6, 2025
- 2,681
- 3,834
upo kama mim mkuu, napenda kusex na mdada ambae anaweza kuwa mke endapo likitokea la kutokeaBefore Sex huw nauliza maswali mawili.
Moja huwa najiuliza mimi.. lingine namuuliza mhusika.
1. Je huyu naekulana nae, ikitokea la kutokea je anafaa kuwa Mke wangu? Je anafaa kuwa Mama wa Watoto/Mtoto wangu?.
2. Baby upo safe?
(Binafsi condom kwa kwel siziwezi)
Ataitwa baba ila hana mbegu, anatumia wanaume wenzake wamshughulike mkewe ili asingizie kuwa mtoto ni wake kumbe wa wenzake.kaka juma jux Mungu atamjalia uwezo nae aitwe baba
Subiri after nine months uwe baba mkuuKwenye ishu ya kalenda niwe muwazi sijui ila leo ndio nimejua.
Baba kija hujambo?Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Eeh?lini hii
Kuna taarifa humu kafariki. Anazikwa ArushaEeh?lini hii
Dipresheni hia hiaBaba kija hujambo?
Na bado!Dipresheni hia hia
yatapita, yana mwishoNa bado!