Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,742
Cha kushangaza mnavokimbilia uchagani sasa! Ni ili ku punguza makali ya rangi au?
kuolewa kwny koo za kina tyson na evanda unaweza kurudi home bila masikio!
Na siku ya kwanza tu baada ya kuoa akiandaa chakula kitie kidole alafu muulize hiki ni chakula gani?...........kisha mzabe kibao ili ajue kuwa sie ni akia MURAAAAA.........Wakurya tumekuwa tunyanyasika sana tunapoenda kutambulisha na wachumba zetu wa makabila tofauti hadi kufikia kukataliwa kuoa kwa sababu ya kabila letu.
Imenitokea mimi na ndugu zangu wengi kwa unyanyasaji huu natoa wito kwa wakurya wote kupiga mimba kwanza kabla ya kwenda kutambulishwa.
Hatujawatuma watoto wenu watupende.
Nani kakudanganya wakurya hatuna rangi!!tuna warembo bwana,pia hatufuati rangi wachaga nowdays wanajua na wanapenda wanaume ngangari,ngoja nikunong'oneze usimwambie mtu ok,wanatulove wenyewe.
Mnayo rangi sijakataa! Ila ni nyeusi! Na sijasema urembo ni weupe au weusi!
Nawaona mnavojiongeza marangu kila siku!
Kwani huko ukuriani hampendwi?
Mura acha kutufuata fuata fanya yanayokuhusu unaona wivu sisi kuoa uchagani.
Mura acha kutufuata fuata fanya yanayokuhusu unaona wivu sisi kuoa uchagani.
Umesema kweli tata isakoro chacha
Tarime one kuna dada yenu mmoja anaitwa Nyamughe..nikimpata huyo mwenyewe nakusindikiza Marangu....
kohhhh kohhhh...how are you?..
Tarime one kuna dada yenu mmoja anaitwa Nyamughe..nikimpata huyo mwenyewe nakusindikiza Marangu....
Kwenu JWTZ na Trafic hakuna kwingine
Unazaliwa kwenye ukoo wa vita na hasira
Bora uzaliwe kwenye koo za pesa[/QUO
Pesa pia ziko kule