Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
aku
.....nakumbuka WETI-DRIMU!...
hivi ninyi wanawake mna WETI-DRIMU?
.....nakumbuka WETI-DRIMU!...
hivi ninyi wanawake mna WETI-DRIMU?
hahahahahaha hahahahahaha heheheheheheh teteteteteh kama na wewe hakukuvutisha bangi itakuwa bahati
KWA IYO ninyi ni ule mchuzi mwekundu tu?!....
Kamata senksi kwanza!!!!!Tena Hapo unaongeza na kile kigeregere kikaliiiiii cha iyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,iyuuuuuuuuuuuuu,alafu Hodi Hodi Twaingia!..................
leo MBU watajijua na plasimodiumu zao!..:
The Following User Says Thank You to Geoff For This Useful Post: klorokwini (Today)
fo zis twu veri uziful posti indiidi nitawarekomendi kwa kikwete neksti taimu akipiga picha na droguba na nyie muwemo kwenye picha.The Following User Says Thank You to Chrispin For This Useful Post: klorokwini (Today)
Na hapa je? Leo sishushi neti! Acha mbu wajing'atie mpaka wachoke!
KWA IYO ninyi ni ule mchuzi mwekundu tu?!....
hivi mlikuwa hamuoti ndoto mnafanya MAPENZI?
SEMENI UKWELI JAMANI,.........
umenikumbusha,tulikuwa tunaenda mtoni kuvinda vidudu vyeusi hivi,sijui kama ni samaki au la,then unaweka kwenye maziwa ili ang'ate,alafu panavimba,unafurahi na kujitapa maziwa yameanza kuota,kweli natamani kurudi nyuma
wafuasi wangu ninaowahubiria neno la mungu wakiona komenti yako hii wanaweza wakakuparalayz kwa maombi! mimi ndio tegemeo lao la kupata uzima wa milele!FL1 huu ubongo wa klorkwin unaona hauna chembe za ganja kweli!!! hahaaaa klorokwin nakufatilia kwa karibu ningeshangaaa usikomenti hapa!!
fo zis twu veri uziful posti indiidi nitawarekomendi kwa kikwete neksti taimu akipiga picha na droguba na nyie muwemo kwenye picha.
greti thinka nipo veri sirias hapa!
wafuasi wangu ninaowahubiria neno la mungu wakiona komenti yako hii wanaweza wakakuparalayz kwa maombi! mimi ndio tegemeo lao la kupata uzima wa milele!
Najuta kutokujua mapema kama wewe ni She! Najuta Sana!
Najuta kutokujua mapema kama wewe ni She! Najuta Sana!
kwann si useme?
ila huyu dawa ya maralia Klorokwin akili yake na Bob M ,Haile Selasie sijui ziko droo ngoma
muone !!!!!!!!!!
kwann si useme?
Utanisikiliza lakini? Utanifikiria?
Afu na wewe mbona unapenda kuangalia maslahi yangu sana?