Ishakula kwako mkuu,domo lilikuwa zito mno.Ulishindwa kujiongeza wakati enzi zile ni mwendo wa vibarua.Nakumbuka kukalishwa benchi moja na mtoto wa kike afu nahama nilikua naona ujinga ila saivi nikiona picha za huyo binti naumia mno roho, kumbe mwalimu wangu alikua na nia njema
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeNakumbuka nilipofika la saba shule ikakumbwa na dhoruba ya kubakiwa na walimu wa kike tupu,wa kiume karibu wote wakaa somokufundisha la saba,shughuli ikawa kwa mwalimu wa hesabu kila akishusha namba zinagoma basi akaona isiwe sqhida akanikabidhi darasa nikawa mwalimu wa hesabu mwanafunzi ila mshahara anakula yy
Sent using Jamii Forums mobile app
Barafu na ice creamMda wa mapumziko ukiwa na hela unapata marafiki wengi ili uwakatie barafu na ice cream
mm kuanzia darasa la tano hadi la saba nilikuwa napangiwa mwanafunzi wa kike, hafu mwalimu alikumshenzi anampanga ambaye uwezo wake darsani upo chini ili nimsaidie, ila yule binti hakufaulu ingawa aliolewa hadi Leo anakijana wake yupo Chuo kikuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh tehIshakula kwako mkuu,domo lilikuwa zito mno.Ulishindwa kujiongeza wakati enzi zile ni mwendo wa vibarua.
Sent using Jamii Forums mobile app
ilikuwa tukimaliza masomo ya siku,ilikuwa ni darasa la pili miaka ya 80 tunapitia mashambani kwa watu kuiba machungwa ndizi etc, sasa tunalazimisha wasichana wakwee juu ili tuwachungulie chup** zao, mmoja wao one day akavua chu**pi akaiweka ndani ya mkoba ndo akakwea, huku anatamba mtangoja sana nyie!! mnataka mnichungulie chpi yangu leo hamuioni, kaacha duka wazi nasisi wala hatukuwa na hamu ya kuendelea kuchungulia kwani chpi ishavuliwa. daaahhh enzi za mwalimu bwana!