SheriaE
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 606
- 446
Nakumbuka Siku Moja Ticha Wa Hisabati Aliingia Clasi Akawa Anauliza Maswali Ukikosa Unakupga Fimbo. Alihakisha Kila Mtu Lazima Ampige. Me Nilikuwa Najifanya Najua Sana Bwana Si Yalinikuta Makubwa Baada Ya Kuniuliza Maswali Mengi Hatimaye Nikakosa, Nami Nkala Vyangu