Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

Nakumbuka Siku Moja Ticha Wa Hisabati Aliingia Clasi Akawa Anauliza Maswali Ukikosa Unakupga Fimbo. Alihakisha Kila Mtu Lazima Ampige. Me Nilikuwa Najifanya Najua Sana Bwana Si Yalinikuta Makubwa Baada Ya Kuniuliza Maswali Mengi Hatimaye Nikakosa, Nami Nkala Vyangu
 
Nakumbuka nilipofika la saba shule ikakumbwa na dhoruba ya kubakiwa na walimu wa kike tupu,wa kiume karibu wote wakapata majanga
Mmoja alipata ajali ya bike akapoteza fahamu miezi 4
Watatu wakaswekwa rumande kwa kuvujisha mtihani
Watatu walikuwa masomoni

Basi kilichofuata baada ya hapo hadi mwalimu wa nursery akapewa somokufundisha la saba,shughuli ikawa kwa mwalimu wa hesabu kila akishusha namba zinagoma basi akaona isiwe shida akanikabidhi darasa nikawa mwalimu wa hesabu mwanafunzi ila mshahara anakula yy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nilipofika la saba shule ikakumbwa na dhoruba ya kubakiwa na walimu wa kike tupu,wa kiume karibu wote wakaa somokufundisha la saba,shughuli ikawa kwa mwalimu wa hesabu kila akishusha namba zinagoma basi akaona isiwe sqhida akanikabidhi darasa nikawa mwalimu wa hesabu mwanafunzi ila mshahara anakula yy

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee
 
Nilikuwa naweka maandazi kwenye kaptula ya shule na mchele wangu uliochanganywa na sukari+maji,maindi ya kuchoma na ya kukaanga hivyo darasa zima lilikuwa linanuka harufu ya maandazi na maindi alafu kukiwa na sherehe mtaani basi shule siendi na katika wanafunzi wachafu mimi nilikuwa no 1 hadi std 7 na nikapewa zawadi kwa kuwa kinara wa uchafu mpaka nahitimu....
 
ilikuwa tukimaliza masomo ya siku,ilikuwa ni darasa la pili miaka ya 80 tunapitia mashambani kwa watu kuiba machungwa ndizi etc, sasa tunalazimisha wasichana wakwee juu ili tuwachungulie chup** zao, mmoja wao one day akavua chu**pi akaiweka ndani ya mkoba ndo akakwea, huku anatamba mtangoja sana nyie!! mnataka mnichungulie chpi yangu leo hamuioni, kaacha duka wazi nasisi wala hatukuwa na hamu ya kuendelea kuchungulia kwani chpi ishavuliwa. daaahhh enzi za mwalimu bwana!
 
Write your reply... Mimi na rafiki zangu tulikua na tabia ya kuiba mboga za shule tulizokua tunalima ...tukaona haitoshi tukan'goa zote

nakumbuka kuna rafiki rafiki angu alijinyea wakati anasubiri kusahihishiwa kazi na Mwalimu


kizuri kuliko vyote nilivyokua nawaburuza wasichana wenzangu..kwenye kumi bora msichana nilikuaga pekee hadi tunamaliza elimu ya msingi
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom