Jamani naombeni mnisamehe kwa kutofuata kanuni na taratibu, na ahidi hakutakuwepo na kuchakachua haki itatendeka.
Eti mimi nina swali!
hivi uinjinia unahusikaje kitandani unataka? Au ndiyo unataka kutafuta ladha tofauti kwani zingine umeshamaliza? Haki ya nani nasikia wivu wa kumtwanga mtu njugu za makalio