Wakulima wa Newala wagomea bei ya korosho

Wakulima wa Newala wagomea bei ya korosho

Kuchukua pesa ya mfuko wa korosho kuwa ya hazina kwa ubabe naye Mungu kakasirika na watu wengi walitabiri anguko la zao la korosho,nayametokea
Ndugu unataka kutuambia, hao watu waliochukua pesa za wakulima masiki, sasa wanasaidiwa na mungu kuzidi kuwaumiza wakulima. Kwanini uzielekeze hasira za mungu kwa waliowadhulumu wakulima.
 
Hatuwezi kumlaimu magufuli au ccm ,hii ni hali iliyojitokeza kwenye soko la dunia,ila nyie kila kitu mnalaumu tu niwatu waaina gani nyie jaman
 
Mwaka jana wamakonde walinywesha mpaka mbuzi soda na ng'ombe walilala kitandani wakalewa mpaka wakachanganya korosho na mawe ngoja wafumzwe matumizi ya pesa
 
Ndugu Allen kuna mambo mengine haifai kuingiza siasa, bei ya korosho duniani imeanguka na kuna korosho nyingi sana za mwaka jana hazijauzika, kama za Ivory coast na nchi zingine za west africa.

Bei elekezi iliyotolewa mwaka huu na bodi ya korosho ni zaidi ya mwaka jana. Korosho yetu karibu yote inakwenda nchi za nje hasa Iindia, na hua zinauzwa kwenye mnada, wanaonunu ndio wanaotoa bei. Sasa hapo serekali ama chama cha ccm, kimehusikaje kuangusha bei.

Tuwe wakweli
umeandika kwa uchungu mno mkuu
 
Ndugu Allen kuna mambo mengine haifai kuingiza siasa, bei ya korosho duniani imeanguka na kuna korosho nyingi sana za mwaka jana hazijauzika, kama za Ivory coast na nchi zingine za west africa.

Bei elekezi iliyotolewa mwaka huu na bodi ya korosho ni zaidi ya mwaka jana. Korosho yetu karibu yote inakwenda nchi za nje hasa Iindia, na hua zinauzwa kwenye mnada, wanaonunu ndio wanaotoa bei. Sasa hapo serekali ama chama cha ccm, kimehusikaje kuangusha bei.

Tuwe wakweli
Kama umefika mbali ivo kulielezea tatizo la bei ya korosho , basi kuna uwezekano mkubwa kuwa hukumwelewa mtoa mada .

Mada imekaa kimzaha kuwa kwa nini ccm wameshusha bei ya korosho, lakini ukweli ni kuwa kupanda na kushuka kwa bei ya korosho kunategemea na soko lenyewe huko duniani,

Mantiki ya mada ni kuwa , kama mwaka jana kuna watu walitamba kuwa bei ya korosho imekuwa juu kutokana na wao , ilhali wakijua kabisa kuwa hawana uwezo wa ku control bei hiyo, basi kuna tatizo la kiutendaji

Mimi ndo nimwelewa mtoa mada kiivo, inaezekana pia nikawa sipo sahihi
 
Sio tandahimba ni NEWALA
IMG-20181022-WA0002.jpeg
 
Kwa hiyo bei ikipanda ni utekelezaji wa sera za awamu ya tano chini ya rais Magufuri, Ila ikishuka bodi ya korosho #shitholeTz
Bei ilipanda kwa sababu ya soko na imeshuka kwa sababu ya soko. Serekali hainunui korosho.
 
Sijampinga katika bei, ila taarifa yake. Leo kulikua na mnada mmoja tu, huo wa Newala na katika taarifa kasema Tandahimba ndiko wameuza 2717 na Newala walikua wanataka 2700 hivyo wakulima kugoma.

Usahihi wa taarifa ni kuwa mnada wa Newala ndipo ilipotajwa hiyo 2717, Tandahimba hakukua na mnada.

Sasa tofauti ni nini hapo......bei uliyotaja inakaribiana na ya mleta mada na wakulima hawakuuza!
 
Ndugu unataka kutuambia, hao watu waliochukua pesa za wakulima masiki, sasa wanasaidiwa na mungu kuzidi kuwaumiza wakulima. Kwanini uzielekeze hasira za mungu kwa waliowadhulumu wakulima.
Hujasoma na kulewa mantiki,hoja yangu kuwa serikai kupitia wabunge wa cc ubabe wa kuchuua pesa ya mfuko wa korosho,Mungu kaamua kuwadhibu soma waamuzi sura ya 6; 1-20 utaona na sura ya saba kuanzia 1-15 utaoata majibu
 
Tandahimba na Newala mnada hauwi siku moja, hiyo inayoitwa Tanecu (Tandahimba and Newala cooperative union) ndio chama cha kuuza na huuza tofauti katika maghala yao yaliyopo Tandahimba au Newala kwa wakati tofauti, hakuna kipindi wanauza maghala yote kwa siku moja.

Nb: Nimeleta taarifa sio ubishi, taarifa yake haina source. Mnada bei chini ilikua 1711 na juu iliishia 2717 na wakulima wame opt kusubiri mnada ujao
Msibishane, Tandahimba na Newala wana chama kikuu cha ushirika kimoja. Tandahimba and Newala Co operative Union (TANECU), lakini kila wilaya ina ghala lake kuu (Main where house) linalokusanya korosho kutoka vyama vyote vya msingi (Amcos). Lakini mwenye kusimamia mauzo ni TANECU, hivyo basi korosho ndani ya wilaya zote mbili huuzwa kwa wakati mmoja katika mnada husika .
 
Sijampinga katika bei, ila taarifa yake. Leo kulikua na mnada mmoja tu, huo wa Newala na katika taarifa kasema Tandahimba ndiko wameuza 2717 na Newala walikua wanataka 2700 hivyo wakulima kugoma.

Usahihi wa taarifa ni kuwa mnada wa Newala ndipo ilipotajwa hiyo 2717, Tandahimba hakukua na mnada.
Nimekuelewa!
 
Heshima kwako mkuu. Nisamehe nilutaka kuanzisha ligi tu bila sababu
Usitoe saluti ndg, akisemacho si kweli. Tandahimba na Newala wanaunda kitu kiitwacho TANECU,Tandahimba and Newala Co Operative Union (Chama kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala). Kwa mujibu wa taratibu za Bodi ya korosho Tanzania (CBT) hiki ndicho msimamizi wa mauzo ya korosho ktk wilaya zote mbili.
Katika mfumo wa mauzo ya kosho kuna kitu kinaitwa ghala kuu (main where house), hapa ni Mahala panapokusanywa korosho zote kutoka katika vyama vidogo vya ushirka na masoko (Amcos) ambavyo vina jukumu la kupokea mazao kwa mkulima. Hivyo kila wilaya ina ghala kuu.
Pia kuna kitu kinaitwa Sales Catalogue ,huu ni mnyumbuliko wa makusanyo ya korosho kutoka Amcos zote zilizopeka korosho ghala kuu. Kipindi cha minada msimamizi wa mauzo ni TANECU, anaepaswa kuuza korosho kutoka wilaya zote ktk mnada husika.
Lakini vilevile mnunuzi (by the laws) ana haki ya kuchagua ghala na bei aipendayo. Hivyo ni haki na wajibi wa wakulima kutoka ghala kuu husika kukubali au kukataa.
 
Ndugu Allen kuna mambo mengine haifai kuingiza siasa, bei ya korosho duniani imeanguka na kuna korosho nyingi sana za mwaka jana hazijauzika, kama za Ivory coast na nchi zingine za west africa.

Bei elekezi iliyotolewa mwaka huu na bodi ya korosho ni zaidi ya mwaka jana. Korosho yetu karibu yote inakwenda nchi za nje hasa Iindia, na hua zinauzwa kwenye mnada, wanaonunu ndio wanaotoa bei. Sasa hapo serekali ama chama cha ccm, kimehusikaje kuangusha bei.

Tuwe wakweli
siasa zinaingia maana mkuu wa mkoa wa Mtwara amewahi kuwatangazia wananchi kwamba korosho mwaka huu itauzwa mpka elfu tano kwa kilo wakulima maswala ya soko la dunia hawaelewi wao wanasikia na kuelewa kinachosemwa na viongozi wa kisiasa
 
Back
Top Bottom