Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,084
Mnada wa korosho uliopigwa leo Newala sh 2700/= na Tandahimba sh 2717/= wakulima Newala wamegoma kuuza korosho zao bei wamesema ndogo
Twaafa..Hii shida sasa
Mbaazi chali
Hili tena....
Gas...
Ufuta
Nauona msako wa watu wanaoficha korosho kwenye magala ukija kwa kasi
Habari,Mnada wa korosho uliopigwa leo Newala sh 2700/= na Tandahimba sh 2717/= wakulima Newala wamegoma kuuza korosho zao bei wamesema ndogo
Si umetype kwenye microsoft word. Yani unapoteza mda wako wote kutype kuformat ilmaradi tu ushindane na mleta mada?Habari,
Tandahimba mnada umefanyika wapi mkuu? Newala imeuzwa 2715, nipo huko na hiyo nlo-attach ndo ratiba yao... Tandahimba mnada ni tarehe 29 OktobaView attachment 907154
Huyu itakuwa kasikia redio mbaoHabari,
Tandahimba mnada umefanyika wapi mkuu? Newala imeuzwa 2715, nipo huko na hiyo nlo-attach ndo ratiba yao... Tandahimba mnada ni tarehe 29 OktobaView attachment 907154
Tandahimba na Newala mnada hauwi siku moja, hiyo inayoitwa Tanecu (Tandahimba and Newala cooperative union) ndio chama cha kuuza na huuza tofauti katika maghala yao yaliyopo Tandahimba au Newala kwa wakati tofauti, hakuna kipindi wanauza maghala yote kwa siku moja.Si umetype kwenye microsoft word. Yani unapoteza mda wako wote kutype kuformat ilmaradi tu ushindane na mleta mada?
Heshima kwako mkuu. Nisamehe nilutaka kuanzisha ligi tu bila sababuTandahimba na Newala mnada hauwi siku moja, hiyo inayoitwa Tanecu (Tandahimba and Newala cooperative union) ndio chama cha kuuza na huuza tofauti katika maghala yao yaliyopo Tandahimba au Newala kwa wakati tofauti, hakuna kipindi wanauza maghala yote kwa siku moja.
Nb: Nimeleta taarifa sio ubishi, taarifa yake haina source. Mnada bei chini ilikua 1711 na juu iliishia 2717 na wakulima wame opt kusubiri mnada ujao
Salute kiongozi, tuko pamoja.Heshima kwako mkuu. Nisamehe nilutaka kuanzisha ligi tu bila sababu
Hahaha kwa hiyo ndo akili za viongozi ccmNauona msako wa watu wanaoficha korosho kwenye magala ukija kwa kasi