Bei ikipanda mnasema serikali ya CCM imefanya jitihada kupandisha bei ili kumjali mkulima(mnatumia fursa hiyo kupiga siasa),bei ikiwa mbaya,hamtaki siasa,badala yake mnasema uhalisia kua tatizo ni soko,tena yule jamaa mbana ajira mkuu anajitapa kwelikweli.
Tanzania hamna wachawi,haiwezekani CCM na jamaa watutese hivi,wamgeondoa vyote au kimoja kati ya chama na mtu.
Tanzania hamna wachawi,haiwezekani CCM na jamaa watutese hivi,wamgeondoa vyote au kimoja kati ya chama na mtu.
Ndugu Allen kuna mambo mengine haifai kuingiza siasa, bei ya korosho duniani imeanguka na kuna korosho nyingi sana za mwaka jana hazijauzika, kama za Ivory coast na nchi zingine za west africa.
Bei elekezi iliyotolewa mwaka huu na bodi ya korosho ni zaidi ya mwaka jana. Korosho yetu karibu yote inakwenda nchi za nje hasa Iindia, na hua zinauzwa kwenye mnada, wanaonunu ndio wanaotoa bei. Sasa hapo serekali ama chama cha ccm, kimehusikaje kuangusha bei.
Tuwe wakweli