Wakulima wa Machungwa wametelekezwa

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Jul 26, 2013
1,013
1,634
Salam wakulima na wafugaji,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, michungwa ni Miongoni mwa mazao yanayowapa kipato wakulima.

Usishangae mtu mwenye ekari moja ya michungwa aina ya Valencia kutengeneza zaidi ya milioni 6 kama msimu utakua mzuri.

Kwani kuna kipindi chungwa moja linauzwa mpaka Tsh 100 bei ya shambani na ekari moja kama shamba limezaa vizuri unaweza kutoa machungwa zaidi ya 60000.

Cha ajabu serikali ipo kimya na wala haitoi kipaumbele kama kwenye mazao mengine kama korosho, chai nk.

Ni kawaida kupita mashambani hasa kipindi hiki kukuta machungwa yameanguka na kuoza na mkulima hana cha kufanya.

Kwa kifupi mkulima wa machungwa anajipigania mwenyewe.

Kama serikali ingetia angalau nusu ya nguvu inayotoa kwenye kilimo cha korosho, chai, mkonge nk basi wakulima wa machungwa wangeishi kifalme kuliko wakulima wa mazao yote Tanzania
 
Salam wakulima na wafugaji,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, michungwa ni Miongoni mwa mazao yanayowapa kipato wakulima.

Usishangae mtu mwenye ekari moja ya michungwa aina ya Valencia kutengeneza zaidi ya milioni 6 kama msimu utakua mzuri.

Kwani kuna kipindi chungwa moja linauzwa mpaka Tsh 100 bei ya shambani na ekari moja kama shamba limezaa vizuri unaweza kutoa machungwa zaidi ya 60000.

Cha ajabu serikali ipo kimya na wala haitoi kipaumbele kama kwenye mazao mengine kama korosho, chai nk.

Ni kawaida kupita mashambani hasa kipindi hiki kukuta machungwa yameanguka na kuoza na mkulima hana cha kufanya.

Kwa kifupi mkulima wa machungwa anajipigania mwenyewe.

Kama serikali ingetia angalau nusu ya nguvu inayotoa kwenye kilimo cha korosho, chai, mkonge nk basi wakulima wa machungwa wangeishi kifalme kuliko wakulima wa mazao yote Tanzania
Mkuu haikuanza leo tena mshukuru bara bara zimejengwa. Miaka ya nyuma ukitoka Dar mpaka Ifakara vijiji vya pwani vilikuwa ni njano ie machungwa yanaiva na hawana pa kuyapeleka.
Serikali hutulia maanani mazao ya biashara ya chakula hangaikeni wenyewe.
Sasa hivi serikali ina angalia zaidi Avocado na mawese na korosho.
 
Mkuu haikuanza leo tena mshukuru bara bara zimejengwa. Miaka ya nyuma ukitoka Dar mpaka Ifakara vijiji vya pwani vilikuwa ni njano ie machungwa yanaiva na hawana pa kuyapeleka.
Serikali hutulia maanani mazao ya biashara ya chakula hangaikeni wenyewe.
Sasa hivi serikali ina angalia zaidi Avocado na mawese na korosho.
Lakini serikali inafanya vibaya kuwatelekeza wa kulima kwani ni sehemu ya kipato kwa Raia wake
 
Serikali imeweka mazingira ya kibiashara.

Kazi ya mkulima ni kutafuta fursa. Kulalamika haisaidii. Usipopiga hatua utabakia ulipo milele.
 
Salam wakulima na wafugaji,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, michungwa ni Miongoni mwa mazao yanayowapa kipato wakulima.

Usishangae mtu mwenye ekari moja ya michungwa aina ya Valencia kutengeneza zaidi ya milioni 6 kama msimu utakua mzuri.

Kwani kuna kipindi chungwa moja linauzwa mpaka Tsh 100 bei ya shambani na ekari moja kama shamba limezaa vizuri unaweza kutoa machungwa zaidi ya 60000.

Cha ajabu serikali ipo kimya na wala haitoi kipaumbele kama kwenye mazao mengine kama korosho, chai nk.

Ni kawaida kupita mashambani hasa kipindi hiki kukuta machungwa yameanguka na kuoza na mkulima hana cha kufanya.

Kwa kifupi mkulima wa machungwa anajipigania mwenyewe.

Kama serikali ingetia angalau nusu ya nguvu inayotoa kwenye kilimo cha korosho, chai, mkonge nk basi wakulima wa machungwa wangeishi kifalme kuliko wakulima wa mazao yote Tanzania
Hongera kwa kilimo.

Unashauri serikali ikuboresheeni eneo lipi ili mpate tija zaidi mkuu
 
Back
Top Bottom