GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Kama kuna Kipindi mkulima wa Korosho amepitia au anapitia mateso mheshimiwa Rais basi ni hiki Kipindi chako, huenda kuna mambo mengi unadanganywa na hawa uliowafanya Kuwa wasaidizi wako.
1. Bei za korosho zinashushwa Kiholela bila sababu za msingi.
2. Vyama vikuu vya ushirika hususani Tanecu Vinachelewesha makusudi malipo ya wakulima jambo ambalo linaaminika Kuwa na uchakachuaji ndani yake, mfano ... Unaweza kukuta mnada wa 3 una bei 4, 2050, 1995, 1960 na 1902 hapa Tanecu wanachakata na wengi wanalipwa 1902.
Rais, Ucheleweshaji wa malipo unawakwamisha wakulima ambao wanataka waanze maandalizi ya mashamba yao Kwa wakati.
Rais, Tunakuomba Ukutane na wakulima moja Kwa moja wakueleze madhila yao ili uone namna ya KuwaSaidia.
Mwisho tunakuomba sana mheshimiwa Raisi Uivunje hii Tanecu Kwani licha ya uchakachuaji nilioutaja hapo juu inazidiwa majukumu. Tunaomba Kuwe na TACU na NECU.
Rais tunakuomba uitumie Takukuru kuchunguza mali za Watendaji wa Tanecu na watu wa Karibu yao, wachunguzwe Pia Maafisa ushirika namna wana vyosimamia zao hili.
1. Bei za korosho zinashushwa Kiholela bila sababu za msingi.
2. Vyama vikuu vya ushirika hususani Tanecu Vinachelewesha makusudi malipo ya wakulima jambo ambalo linaaminika Kuwa na uchakachuaji ndani yake, mfano ... Unaweza kukuta mnada wa 3 una bei 4, 2050, 1995, 1960 na 1902 hapa Tanecu wanachakata na wengi wanalipwa 1902.
Rais, Ucheleweshaji wa malipo unawakwamisha wakulima ambao wanataka waanze maandalizi ya mashamba yao Kwa wakati.
Rais, Tunakuomba Ukutane na wakulima moja Kwa moja wakueleze madhila yao ili uone namna ya KuwaSaidia.
Mwisho tunakuomba sana mheshimiwa Raisi Uivunje hii Tanecu Kwani licha ya uchakachuaji nilioutaja hapo juu inazidiwa majukumu. Tunaomba Kuwe na TACU na NECU.
Rais tunakuomba uitumie Takukuru kuchunguza mali za Watendaji wa Tanecu na watu wa Karibu yao, wachunguzwe Pia Maafisa ushirika namna wana vyosimamia zao hili.