Kwa bede 9 alitakiwa atoe kilo 72+ bonde la usangu wanalima saro 5 hiyo mbegu ikikutana na ukosefu wa maji wakati wa kuchanua inatoa kilo 8 tu kwa bede na mwaka huu mbarali imekumbwa na hiyo changamoto ya ukame
Ngoja watu wa Kagongwa-Kahama,Morogoro na Mbeya waje wakujibu
Mtu aliyeko dar hawezi toa jibu fasaha hawa wanategemea sisi watu wa mikoani ndio tunawalisha
Halafu sasa ujue mungu anavyojua kugawa riziki wao wako mjini hawalimi lakini ndio wanatupangia bei zaidi ya yote utasikia mkoa wa dar unaoongoza kwa mzunguko wa hela na pato la kuchangia taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.