Wakubwa naomba msaada wenu mtoto nisipotee

Wakubwa naomba msaada wenu mtoto nisipotee

Breaking bad

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,464
Reaction score
3,495
Shikamooni wakubwa zangu humu ndani.

Mimi ni kijana wa miaka 19. Ninasumbuliwa na tatizo moja. Najiona kama vile nakua mwili tu lakini akili yangu bado ya kitoto.

Ni kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikiishi peke yangu kuanzia nilipohitimu darasa la saba mpaka hivi sasa nipo kidato cha tano.

Nimesoma shule ya bweni ila nilipokuwa nikirudi likizo nilipendelea sana kukaa ndani (ndio akili yangu ilichonituma kwa wakati huo), hali iliyopelekea kupoteza marafiki zangu wengi wa shule ya msingi.

Bahati mbaya zaidi mitaa ninayoishi hakuna vijana wa rika langu. Hii imesababisha mara nyingi kuwa mpweke kitu ambacho nadhani kinaniathiri kisaikolojia.

Huwa nikipata pesa (kutoka kwa wazazi bado sijaanza kutengeneza pesa zangu mwenyewe ) huwa sivipi kipaumbele vitu kama mavazi yaani huwa natumia tu mpaka inaisha japo sina mavazi mengi (wazazi walishaacha kuninunulia nadhani kwa sababu ya umri wangu).

Yaani huwa hata nikiwaona madogo niliowaacha shule ya msingi naona wananizidi kimaisha.

Hata shuleni nako sikuwa mtu social sana hivyo sikupata marafiki wengi wapya. Huwa nawakumbuka sana wanafunzi wenzangu niliosoma nao shule ya msingi both boys and girls and actually nawapenda sana.

Huwa nawa search tu social media
bila wao kujua. Wachache nawapata naishia kuangalia tu picha zao lakini nashindwa kuwa approach kwani naona wamenizidi sana I mean wamekua.

Hapa nyumbani marafiki zangu wakubwa ni wadogo zangu tu yaani am very confused.

Nashindwa hata kujua wenzangu wanapigaga dili gani ili kujitengenezea pesa.

Yaani naathirika mpaka shuleni hasa hii A level nashindwa hata kwenda kudiscuss na mtu mambo yakinishinda.

I have lost a lot of people, friends, opportunities, time etc but I want to recover them.

Natamani sana kujenga upya maisha yangu, kuwa na marafiki wa kike na wa kiume wa rika langu nitakaoweza kushare nao mambo mbalimbali.

Naombeni mnisaidie wakubwa zangu nitaanza vipi? Nanyi vijana wenzangu wa miaka 19 au 20 huwa mnafanya nini likizo au mnakutanaga wapi? Nitawezaje kubadilika?

Im always confused and stressed about this mpaka huwa nahisi kurogwa au kuna mkono wa mtu kwenye maisha yangu.

May God will bless you for what you will contribute.
 
Usijilazimishe sana kuwa na marafiki wengi au kuwa na ukaribu na watu wengi. Na wala huhitaji kuwa hivyo ili mambo yaende.

Kwanza siyo kila mtu anaweza. Hilo huwa linakuja automatic

Kuna watu akija ( sangwines ) mtaani kwenu ndani ya nusu saa ashazoeana na kila mtu.
 
Anza kwa kupenda mpira either kucheza au kuangalia, kama kuangalia nenda vibanda vya kuonyesha mpira, then chagua timu kama arsenal.. ili uwe unabishana sana..

Anza kusoma tuition sehemu zenye wanafunzi wengi na ongeza kujiamini

Angalizo: chagua marafiki wazuri ambao kwa unaamin hawata kuharibu
Shikamooni wakubwa zangu humu ndani. Mimi ni kijana wa miaka 19
Ninasumbuliwa na tatizo moja. Najiona kama vile nakua mwili tu lakini akili yangu bado ya kitoto. Ni kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikiishi peke yangu kuanzia nilipohitimu darasa la saba mpaka hivi sasa nipo kidato cha tano.Nimesoma shule ya bweni ila nilipokuwa nikiludi likizo nilipendelea sana kukaa ndani(ndio akili yangu ilichonituma kwa wakati huo) hali iliyopelekea kupoteza marafiki zangu wengi wa shule ya msingi. Bahati mbaya zaidi mitaa ninayoishi hakuna vijana wa rika langu.Hii imesababisha mara nyingi kuwa mpweke kitu ambacho nadhani kinaniathiri kisaikolojia .

Huwa nikipata pesa (kutoka kwa wazazi bado sijaanza kutengeneza pesa zangu mwenyewe )huwa sivipi kipaumbele vitu kama mavazi yani huwa natumia tu mpaka inaisha japo sina mavazi mengi (wazazi walishaacha kuninunulia nadhani kwa sababu ya umri wangu).

Yaani huwa hata nikiwaona madogo niliowaacha shule ya msingi naona wananizidi kimaisha.
Hata shuleni nako sikuwa mtu social sana hivyo sikupata marafiki wengi wapya.
Huwa nawakumbuka sana wanafunzi wenzangu niliosoma nao shule ya msingi both boys and girls and actually nawapenda sana. Huwa nawa search tu social media
bila wao kujua.wachache nawapata naishia kuangalia tu picha zao lakini nashindwa kuwa approach kwani naona wamenizidi sana i mean wamekua.

Hapa nyumbani marafiki zangu wakubwa ni wadogo zangu tu yaani am very confused. Nashindwa hata kujua wenzangu wanapigaga dili gani ili kujitengenezea pesa.

Yaani naathirika mpaka shuleni hasa hii A level nashindwa hata kwenda kudiscuss na mtu mambo yakinishinda.

I have lost a lot of people, friends opportunities,time, etc but I want to recover them.

Natamani sana kujenga upya maisha yangu, kuwa na marafiki wa kike na wa kiume wa rika langu nitakaoweza ku share nao mambo mbalimbali. Naombeni mnisaidie wakubwa zangu nitaanza vipi? Nanyi vijana wenzangu wa miaka 19 au 20 huwa mnafanya nini likizo au mnakutanaga wapi?ntawezaje kubadilika?

Am always confused and stressed about this mpaka huwa nahisi kurogwa au kuna mkono wa mtu kwenye maisha yangu.

May God will bless you for what you will contribute.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora ni peke yangu mimi, bora niwe pekee angu...

Wimbo wa msanii nimesahau jina lake.
Vijana wa sasa wa rika lako wengi vichwa vimebunguliwa kwa uhuni,mpira,ubishoo na kubet..Nakushauri tafuta marafiki waliokuxidi umri kuanzia miaka 10 hivi.
Ndio nami niliowajaza
 
Uzuri kuwa umejua Udhaifu wako uko wapi, sasa Anza kuufanyia kazi,.

Ukweli kuwa na marafiki wengi sio kitu cha lazima, sio kitu kitakachokupa furaha..

Tafuta rafiki ambao wako na tija kwako, kumbuka ukitaka kufanikiwa lazima ujitambue, kuwa selfish, kuwa unajijali.. Kuwa na sera ya wewe kwanza wengine wanafuatia utafanikiwa..
 
Unamshauri mwenzio awe na marafiki wazee, wengine hawawezi
Bora ni peke yangu mimi, bora niwe pekee angu...

Wimbo wa msanii nimesahau jina lake.
Vijana wa sasa wa rika lako wengi vichwa vimebunguliwa kwa uhuni,mpira,ubishoo na kubet..Nakushauri tafuta marafiki waliokuxidi umri kuanzia miaka 10 hivi.
Ndio nami niliowajaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora ni peke yangu mimi, bora niwe pekee angu...

Wimbo wa msanii nimesahau jina lake.
Vijana wa sasa wa rika lako wengi vichwa vimebunguliwa kwa uhuni,mpira,ubishoo na kubet..Nakushauri tafuta marafiki waliokuxidi umri kuanzia miaka 10 hivi.
Ndio nami niliowajaza
Ninao huu wimbo chief[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anza kwa kupenda mpira either kucheza au kuangalia, kama kuangalia nenda vibanda vya kuonyesha mpira, then chagua timu kama arsenal.. ili uwe unabishana sana..

Anza kusoma tuition sehemu zenye wanafunzi wengi na ongeza kujiamini

Angalizo: chagua marafiki wazuri ambao kwa unaamin hawata kuharibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri mzuri ila kwenye kuchagua arsenal unampoteza mazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shikamooni wakubwa zangu humu ndani.

Mimi ni kijana wa miaka 19. Ninasumbuliwa na tatizo moja. Najiona kama vile nakua mwili tu lakini akili yangu bado ya kitoto.

Ni kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikiishi peke yangu kuanzia nilipohitimu darasa la saba mpaka hivi sasa nipo kidato cha tano.

Nimesoma shule ya bweni ila nilipokuwa nikirudi likizo nilipendelea sana kukaa ndani (ndio akili yangu ilichonituma kwa wakati huo), hali iliyopelekea kupoteza marafiki zangu wengi wa shule ya msingi.

Bahati mbaya zaidi mitaa ninayoishi hakuna vijana wa rika langu. Hii imesababisha mara nyingi kuwa mpweke kitu ambacho nadhani kinaniathiri kisaikolojia.

Huwa nikipata pesa (kutoka kwa wazazi bado sijaanza kutengeneza pesa zangu mwenyewe ) huwa sivipi kipaumbele vitu kama mavazi yaani huwa natumia tu mpaka inaisha japo sina mavazi mengi (wazazi walishaacha kuninunulia nadhani kwa sababu ya umri wangu).

Yaani huwa hata nikiwaona madogo niliowaacha shule ya msingi naona wananizidi kimaisha.

Hata shuleni nako sikuwa mtu social sana hivyo sikupata marafiki wengi wapya. Huwa nawakumbuka sana wanafunzi wenzangu niliosoma nao shule ya msingi both boys and girls and actually nawapenda sana.

Huwa nawa search tu social media
bila wao kujua. Wachache nawapata naishia kuangalia tu picha zao lakini nashindwa kuwa approach kwani naona wamenizidi sana I mean wamekua.

Hapa nyumbani marafiki zangu wakubwa ni wadogo zangu tu yaani am very confused.

Nashindwa hata kujua wenzangu wanapigaga dili gani ili kujitengenezea pesa.

Yaani naathirika mpaka shuleni hasa hii A level nashindwa hata kwenda kudiscuss na mtu mambo yakinishinda.

I have lost a lot of people, friends, opportunities, time etc but I want to recover them.

Natamani sana kujenga upya maisha yangu, kuwa na marafiki wa kike na wa kiume wa rika langu nitakaoweza kushare nao mambo mbalimbali.

Naombeni mnisaidie wakubwa zangu nitaanza vipi? Nanyi vijana wenzangu wa miaka 19 au 20 huwa mnafanya nini likizo au mnakutanaga wapi? Nitawezaje kubadilika?

Im always confused and stressed about this mpaka huwa nahisi kurogwa au kuna mkono wa mtu kwenye maisha yangu.

May God will bless you for what you will contribute.
Ni fursa kuwa hivyo sasa ni kuyapanga maisha vile upendvyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom