sokomoko,
..katika umri ule prof.lipumba hana mke?!!
..sasa hii itazusha maswali mengi mno, na kusambaratisha mjadala wetu.
..naona bora tujadili sera za cuf na ahadi anazotoa prof.lipumba.
hapa hatujadili habari za lipumba bali za kile jinachoitwa rais mtarajiwa padri slaa kuiba mke wa mtu na kumtambulisha hadharani kuwa ni mchumba wake!!!! Mimi sikujuwa kama ma padri huwa wanaruhusiwa kuwa na wachumba!!! Au ni sheria mpya? Lipumba hajawahi kusimama ktk mikutano ya kampeni na kumnadi mke wa mtu kuwa ni mchumba wake!! Bali ktk mikutano ya lipumba huwa tunasikia akinadi sera zake za elimu bure toka msingi mpaka chuo kikuu, matibabu bure nk, sera ambazo chadema wameziiba toka cuf!!!!
Sera za vyama vingine muibe!!!
Wake za watu munaiba!!!!
Sasa sijui kinachofuata ni nini?? Labda ni kuiba kura!!!!