johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Sijaona kabisa CHADEMA wakichukua hatua za makusudi kutuomba radhi kwa namna moja au nyingine Sisi tuliowaunga mkono kwenye Uchaguzi wa 2015 na wale walioendelea kuwaunga mkono kwenye Uchaguzi mkuu wa 2020.
1. CHADEMA Wabunge wenu walitudharau baada tu ya kuwachagua wakamkimbilia Shujaa Maguful na kutuacha Solemba, ndani Gekul, Waitara, Ryoba, Nassary, Dr Mollel, nk.
2. Baada ya 2020 Wapigakura kuwapambania kwa jasho na Damu lakini Halina Mdee na wenzake walipoona kura hazijatosha wakajipeleka kwa Shujaa Magufuli wao na nyongeza ya zawadi.
3. Mbowe alipokamatwa kwa Ugaidi wa Mchongo tulimpigania na kumchangia lakini Mungu wa Mbinguni aliposikia Sala zetu kama Paulo na Silla huyu Mbowe alivyotoka badala ya kuja Ufipa st tulipokuwa tunamchangia yeye akakimbilia White House Kuomba maridhiano.
Kiukweli bila toba ya kweli CHADEMA wajiandae kuumia zaidi.
Mungu wa Mbinguni uturehemu sisi.😄
1. CHADEMA Wabunge wenu walitudharau baada tu ya kuwachagua wakamkimbilia Shujaa Maguful na kutuacha Solemba, ndani Gekul, Waitara, Ryoba, Nassary, Dr Mollel, nk.
2. Baada ya 2020 Wapigakura kuwapambania kwa jasho na Damu lakini Halina Mdee na wenzake walipoona kura hazijatosha wakajipeleka kwa Shujaa Magufuli wao na nyongeza ya zawadi.
3. Mbowe alipokamatwa kwa Ugaidi wa Mchongo tulimpigania na kumchangia lakini Mungu wa Mbinguni aliposikia Sala zetu kama Paulo na Silla huyu Mbowe alivyotoka badala ya kuja Ufipa st tulipokuwa tunamchangia yeye akakimbilia White House Kuomba maridhiano.
Kiukweli bila toba ya kweli CHADEMA wajiandae kuumia zaidi.
Mungu wa Mbinguni uturehemu sisi.😄