Elections 2010 Wakristu na Waislamu kuiunga mkono CUF na kuipa kura za ndio ni baada...!

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
NDIO kwa mgombea uraisi wa CUF Pr. Ebrahim Lipumba ,hizo ni habari mpya kabisa ambazo zimeanza kuzagaa mitaani kama moto wa mbugani.

Baada ya Dr Slaa kufumaniwa na mke wa mtu katika majukwaa mbalimbali huku akijinadi bila ya aibu ,walokole wa dini mbalimbali wameonelea ni bora kumuunga mkono mgombea wa CUF kuliko kumuunga mkono Dr SLaa kwani huko ni sawa na kuikumbatia dhambi aliyotenda.

Ebrahim ambae anagombea kwa mara ingine amepewa nafasi kubwa ya kuibwaga CCM baada ya viashiria kuonyesha kuwa kura nyingi zitaelekezwa kwake kuliko kupelekwa CCM au Chadema.
 
If you don't have something to do this Saturday you better sleep rather than bringing on a crap story.
 
NDIO kwa mgombea uraisi wa CUF Pr. Ebrahim Lipumba ,hizo ni habari mpya kabisa ambazo zimeanza kuzagaa mitaani kama moto wa mbugani.

Baada ya Dr Slaa kufumaniwa na mke wa mtu katika majukwaa mbalimbali huku akijinadi bila ya aibu ,walokole wa dini mbalimbali wameonelea ni bora kumuunga mkono mgombea wa CUF kuliko kumuunga mkono Dr SLaa kwani huko ni sawa na kuikumbatia dhambi aliyotenda.

Ebrahim ambae anagombea kwa mara ingine amepewa nafasi kubwa ya kuibwaga CCM baada ya viashiria kuonyesha kuwa kura nyingi zitaelekezwa kwake kuliko kupelekwa CCM au Chadema.

Mzee avator yako inasema kila kila kitu kuhusu wewe {Lights travel faster than sound, This is why some people appear bright until you hear them speak}.
 
NDIO kwa mgombea uraisi wa CUF Pr. Ebrahim Lipumba ,hizo ni habari mpya kabisa ambazo zimeanza kuzagaa mitaani kama moto wa mbugani.

Baada ya Dr Slaa kufumaniwa na mke wa mtu katika majukwaa mbalimbali huku akijinadi bila ya aibu ,walokole wa dini mbalimbali wameonelea ni bora kumuunga mkono mgombea wa CUF kuliko kumuunga mkono Dr SLaa kwani huko ni sawa na kuikumbatia dhambi aliyotenda.

Ebrahim ambae anagombea kwa mara ingine amepewa nafasi kubwa ya kuibwaga CCM baada ya viashiria kuonyesha kuwa kura nyingi zitaelekezwa kwake kuliko kupelekwa CCM au Chadema.
Pumba at its best.
 
Mimi ningekuona una akili kama ungekuwa mwiba kwa mafisadi walioifikisha kwenye hali mbaya Tanzania lakini umewekeza nguvu zako kwa mambo yasiyo na msingi,inaonekana upo kwenye posho za kina makamba
 
NDIO kwa mgombea uraisi wa CUF Pr. Ebrahim Lipumba ,hizo ni habari mpya kabisa ambazo zimeanza kuzagaa mitaani kama moto wa mbugani.

Baada ya Dr Slaa kufumaniwa na mke wa mtu katika majukwaa mbalimbali huku akijinadi bila ya aibu ,walokole wa dini mbalimbali wameonelea ni bora kumuunga mkono mgombea wa CUF kuliko kumuunga mkono Dr SLaa kwani huko ni sawa na kuikumbatia dhambi aliyotenda.

Ebrahim ambae anagombea kwa mara ingine amepewa nafasi kubwa ya kuibwaga CCM baada ya viashiria kuonyesha kuwa kura nyingi zitaelekezwa kwake kuliko kupelekwa CCM au Chadema.

Wewe ni mwehu
 
Jamani tuiache hii thread. Kuna mtu ana habari mpya?
 
mtaguna sana ,na nitawashangaa sana ikiwa hadi hapa tulipofika na kusikia utakuwa bado umebakia Chadema ,hivi mngependa m'bakaji awe raisi wa Tanzania ? Slaa hafai hata kupewa dhamana ya ualimu ,mnataka awe Raisi ,si patajaa madanguro ,Slaa amepotoka kwa kuendelea hadi leo kubaki na mke wa mtu mwengine ,ama kama angeweka hadharani kuwa ameepukana nae ,isingekuwa noma excuse nyingi zingeziba ,ila jamaa anaendelea kukata nae mbuga huko kwenye baridi kali ,hivi mgombea huyu anawaonyesha na kuwafunza nini WaTanzania?????????????????????????????
 
Wewe ni mwehu
Kibaka hafai kuwa kiongozi wa Chadema wacha Raisi wa Tanzania ,yaani sasa mnafanya masihala na kiti cha Uraisi ,nyie vipi ? Ivi mna akili timamu ? Au ndio mnajipendekeza ? Ukweli usemwe uanikwe ili tupate kiongozi mtenda wema ,sio mdanganyifu na mwepesi kwa mambo ya anasa ?
 
NDIO kwa mgombea uraisi wa CUF Pr. Ebrahim Lipumba ,hizo ni habari mpya kabisa ambazo zimeanza kuzagaa mitaani kama moto wa mbugani.

Baada ya Dr Slaa kufumaniwa na mke wa mtu katika majukwaa mbalimbali huku akijinadi bila ya aibu ,walokole wa dini mbalimbali wameonelea ni bora kumuunga mkono mgombea wa CUF kuliko kumuunga mkono Dr SLaa kwani huko ni sawa na kuikumbatia dhambi aliyotenda.

Ebrahim ambae anagombea kwa mara ingine amepewa nafasi kubwa ya kuibwaga CCM baada ya viashiria kuonyesha kuwa kura nyingi zitaelekezwa kwake kuliko kupelekwa CCM au Chadema.
Brotherly Advise: Mwiba, junius, Kadogoo, Kanda2, Tumaini and the like; Dr Slaa is not your enemy; and he loves CUF; why you take on him as if you are threatened by him?? Our threat is CCM that is all our target. I would be happy if CUF becomes a winner! Leave this innocent man (Dr Slaa) live in peace! Overall he has declared that he has a mature woman who was abondoned by a stud - mahimbo. remember one thing: JK, and Alhadji Mwinyi did the same, but the difference is; we are not talking about!! Is time for you to growup and behave!
 
Mimi ningekuona una akili kama ungekuwa mwiba kwa mafisadi walioifikisha kwenye hali mbaya Tanzania lakini umewekeza nguvu zako kwa mambo yasiyo na msingi,inaonekana upo kwenye posho za kina makamba

Huwezi kujua labda naye anafaidika na HUO UFISADI ULIOUFILISI HII NCHI NDIO MAANA ANAUTETEA
 
Kibaka hafai kuwa kiongozi wa Chadema wacha Raisi wa Tanzania ,yaani sasa mnafanya masihala na kiti cha Uraisi ,nyie vipi ? Ivi mna akili timamu ? Au ndio mnajipendekeza ? Ukweli usemwe uanikwe ili tupate kiongozi mtenda wema ,sio mdanganyifu na mwepesi kwa mambo ya anasa ?
Kibaka atakuwa zaidi ya Mwinyi au Kikwete?? maana hao wawili wamechukua underage; 18 yers old while they are already at their late 50s and 60s. Acha utumwa wa wivu; you cretins!!
 
Hao ni walolole gani wanaoongelewa? ASIYE NA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KUMTUPIA JIWE. wakristo, waislamu, wana CCM, chadema na hata wasion na dini wako tayari kumpa Dr. Slaa kura ili aikomboe na mafisadi, labda hiyo ni yako ya kutunga!! Rethink
 
Back
Top Bottom