Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
NDIO kwa mgombea uraisi wa CUF Pr. Ebrahim Lipumba ,hizo ni habari mpya kabisa ambazo zimeanza kuzagaa mitaani kama moto wa mbugani.
Baada ya Dr Slaa kufumaniwa na mke wa mtu katika majukwaa mbalimbali huku akijinadi bila ya aibu ,walokole wa dini mbalimbali wameonelea ni bora kumuunga mkono mgombea wa CUF kuliko kumuunga mkono Dr SLaa kwani huko ni sawa na kuikumbatia dhambi aliyotenda.
Ebrahim ambae anagombea kwa mara ingine amepewa nafasi kubwa ya kuibwaga CCM baada ya viashiria kuonyesha kuwa kura nyingi zitaelekezwa kwake kuliko kupelekwa CCM au Chadema.
Baada ya Dr Slaa kufumaniwa na mke wa mtu katika majukwaa mbalimbali huku akijinadi bila ya aibu ,walokole wa dini mbalimbali wameonelea ni bora kumuunga mkono mgombea wa CUF kuliko kumuunga mkono Dr SLaa kwani huko ni sawa na kuikumbatia dhambi aliyotenda.
Ebrahim ambae anagombea kwa mara ingine amepewa nafasi kubwa ya kuibwaga CCM baada ya viashiria kuonyesha kuwa kura nyingi zitaelekezwa kwake kuliko kupelekwa CCM au Chadema.