Hata huko syria wanaouawa hawako vitaniSasa wanarudisha hadhi kwa kuua wasiokuwa vitani? Nyie na huyo Allah asiyeweza kuilinda dini yake mpaka mumsaidie kwa kuua watu ndio mnadhani mtapelekwa peponi kweli? Hebu nipe aya walioitumia kuwaua hao watu waliokuwa kwenye basi.
Kiswahili ni lugha kama lugha yoyote,wapo wasio waislamu,wamezaliwa Pwani na wameishi miji ya Pwani na sio waislamu,hajui kikundi hiki na vingine vya kigaidi vimeanzishwa na nchi za magharibi kwa lengo lao maalumu,wanalojuwa wao.Sawa mie sikutumia akili em wewe tumia hizo za kwako uniambie hiko kiswahili cha kimatumbi kilichoandika hapo kuwasifia hao wauwaji especially kumsifia founder wa ISIS kimeandikwa na m'magharibi?ni nyie nyie hadharani mnajifanya kuwakataa kimoyo moyo na mkiwa kwenye vikao vyenu mnawakubali na kuwapongeza,acheni unafiki wakatazeni na wakataeni lah hamkufanya hivyo nyinyi nyote magaidi tu.inajulikana wazi hakuna taifa litakalopigana vita isiyo na maslahi kwalo ndio maana hasa wanajilinda wasishambuliwe nyumbani hawawezi kufanya vita ilhali kwao kuu'salama ndo maana hao waislam wanaenda kuonea zile sehemu dhaifu.
Kiswahili ni lugha kama lugha yoyote,wapo wasio waislamu,wamezaliwa Pwani na wameishi miji ya Pwani na sio waislamu,hajui kikundi hiki na vingine vya kigaidi vimeanzishwa na nchi za magharibi kwa lengo lao maalumu, wanalojuwa wao.
Fikiria katika akili yako,nchi kama Marekani,yenye teknolojia ya hali ya juu kabisa katika nyanja zote, unazozifahamu na usizozifahamu,wanashindwa kweli kukimalizi kikundi hiki au vikundi hivi?Ndani ya miezi mitatu pia mingi,wangekuwa wamesambaratishwa,hivi vikundi ni vya kutengenezwa na vilelewa na kupewa silaha,fedha nk.
Wewe sio Muslim na una tia doa dini ya kislam,,,kama ni muumini mzuri haupaswi hata kumwita na mkristu khafiri.Dini ya kislamu hairuhusu kua au hata kujichanja chali mwili wako, sasa iweje unashabikia kuawa kwa watu wakati dini inakataza hata wewe mwenyewe kujitoa damu kwa kigezo cha dini.Am proud of my religion allah akubar.......bora wafe hao makafir japo tuingie peponi
Tukiwaambia hiyo dini ni aya za shetani wanatokwa povu, ona sasa, watu hao wamewakosea nini maskini!!
Am proud of my religion allah akubar.......bora wafe hao makafir japo tuingie peponi
Tukiwaambia hiyo dini ni aya za shetani wanatokwa povu, ona sasa, watu hao wamewakosea nini maskini!!
Sawa kabisa ! Mmarekani na washirika wake wanahusika kwa kiwango kikubwa na haya makundi ya kigaidi, hivi isingekuwa marekani kuundoa utawala wa Gadafi, kuuvunja nguvu utawala wa Assad, Saddam husseini, haya makundi yangepata wapi nafasi ya kujiimarisha na sasa kufanya mauaji dunia nzima ? Kinachotokea hapa haya makundi yanajiimarisha ktk mataifa ambayo serikali zao hazipo imara na mmarekani na washirika wake walishiriki kwa kiwango cha juu katika kuharibu hayo mataifa na sasa yamekuwa kitovu cha ugaidi.Na usishangae badae North korea wakawa nao chimbuko la ugaidi baada kupigwa na mmarekani.Wenye dini yao watakuja muda usio mrefu na kulaumu Marekani. Walishapata vijisababu vya kuficha uovu ulio ndani yao.
AminaHuwa hatupotez muda kwa kulipa visas juu ya mwili; zaidi zaidi wao wanaoua miili yetu hufanya rahisi kwa roho zetu kukombolewa kwa Damu ya miili yetu; mwenyezi mungu awape kibari cha kutambua kweli kabla hawajashuka kuzimu
Aisee mwanga wa milele nawe ukuangazie daimaAm proud of my religion allah akubar.......bora wafe hao makafir japo tuingie peponi
Ni vita vya kiroho,wenzetu hawajui kutafsiri,vua viatu hapo ulipo ni patakatifu wao wanavua vya miguuni,Siwezi kuiongelea sana hiyo mistari kwa sababu mimi sio muislam na tafsiri zake sizielewi. Kwenye Biblia tunapoambiwa vita na kuua inamaanisha tupigane vita vya mwili?
Kwa hiyo kumbe kuna Mungu zaid ya mmojaMoja ya njia ya kuifurahisha miungu ni kupitia sadaka kuua watu kwa sababu ya kidini ni moja wapo ya kutoa sadaka ya damu kwa miungu ili kuifurahisha.
Kuna maagano hufanywa kati ya watoa sadaka na miungu yao.Mungu yule anapenda sana sadaka za damu amehaidi kuwapa thawabu wale wote watakao mtolea sadaka za damu kupitia makafara wanayoyatoa watu wake.
Ni mungu mwenye kiu kali sana ya damu watumishi wake kina subiani ndio humletea hizo damu
Hapana si vya kimwili, na wafuasi wa kweli walihubiri hivyo na kuuishi ukweli huo, amani na upendo. Vipi kwa upande wa pili nako?Siwezi kuiongelea sana hiyo mistari kwa sababu mimi sio muislam na tafsiri zake sizielewi. Kwenye Biblia tunapoambiwa vita na kuua inamaanisha tupigane vita vya mwili?
Hapana, ila ni mfumo wa maisha tu ya kiduniani ambao unawezesha mbinu yoyote ile kutumika, hata ugaidi pia.Uislam ni ugaidi?
Ila hoja na misimamo wanayoitumia ni ya kiislamu kwa waislamu toka kwenye maandiko ya kiislamu ndo maana wanapata uungwaji mkono na wote wenye kuyasadiki hayo maandiko.Hiki ni kikundi kimeanzishwa na nchi za magharibi,tumia akili,hivi dunia ya LEO,ya nchi za magharibi zenye teknolojia ya kisasa wanashindwa kukimaliza kikundi kidogo hiki,kisicho na nchi wala hawatengenezi silaha.Hiki kikundi kinajiita na cha kiislamu,sio waislamu hawa.Kama wangekuwa ni waislamu,wangekuwa wameshaangamiza siku nyingi na kupotea kwenye uso wa dunia.
Hivi ni vikundi vya kikristo,vinauana wenyewe kwa wenyewe.Wanajita tu Islamic state,Hawa wangekuwa ni waislamu kweli,American na teknolojia na vifaa vya kisasa vya vita,angekuwa ameshawasambaratisha hawa, siku nyingi sana.Na tumeshawasahau.
Mwezi unaoanza kesho basi kwao hao wauwaji utakuwa shwaari....thwawabu mara mbili,kufunga na kuangamiza asiye muumini inadaiwa ni moja ya ticket ya kuiona pepo.Mungu awapokee hao marehemu!
Wenyewe wanakuambia ni “dini ya amani na haki".Midini mingine aisee......you need to be a special kind of stupid to be a believer!