ArD67
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 2,817
- 2,040
Ila sisi waafrika tukishabikia uarabu hata kimavazi si shida sivyo? Kuhusu wageni kudominate, hao ma Coptic kwa Misri ndio wenyeji hata kabla ya uislamu kuingia.Kinachouma ni pale taratibu za Mgeni kuja Kutawala Mwenyeji; kila nabii alikuja kwa jamii yake!
Je kuwapiga Magaidi wa kiislam ndio kufanywa kwa mauaji Afghan , Irak , Libya(wanaokua wahanga ni raia wema). Sishabikii Mauaji ila ht hapa Tz nachukizwa na Tamaduni za Kizungu hasa Vinguo vifupi japo makanisa yameamka ila tuliopo sokon tunawashuhudia utandawazi unavyowatandaza!! WHEN IN ROMAN DO AS ROMAN NA SISHAURI ARABIC COUNTRIES WASHABIKIE UWESTENIZESHEN!!