mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
Ni kweli Mtumishi kwao definition ya Neno Amani ni kunguru kupora kifaranga cha kuku..Wenyewe wanakuambia ni “dini ya amani na haki".
Ni kweli Mtumishi kwao definition ya Neno Amani ni kunguru kupora kifaranga cha kuku..Wenyewe wanakuambia ni “dini ya amani na haki".
Hata Mwenyezi Ametuagiza Tusiabudu Mungu mwingine Ilaha yeye Tuu...Kwa hiyo kumbe kuna Mungu zaid ya mmoja
Hapa Mtumishi hata seydna Umary aligoma kula denda hilo jiwe lilalo fanana na Ku*** mpaka pale muham mad alipo mkazia macho kitemi ndipo naye akalibusu...yallah..muulize hii imefanana na mini??akikujibu muulize Allah anafanya nini na kitu mfano wa kipapa??
Mbona iko wazi hapo...allah anawaagiza waislamu watung'oe kucha kisha watukate shingo...Siwezi kuiongelea sana hiyo mistari kwa sababu mimi sio muislam na tafsiri zake sizielewi. Kwenye Biblia tunapoambiwa vita na kuua inamaanisha tupigane vita vya mwili?
Mbona iko wazi hapo...allah anawaagiza waislamu watung'oe kucha kisha watukate shingo...
Hili ni Agizo aliloniagiza HEKIMA Yuda 1:3-4 nimefungwa nilitekeleze ni mojawapo ya Imani yangu.Enenda kadri imani yako inavyokuruhusu mkuu
Mhalifu yoyote hutumia mbinu yoyote,kutekeleza uhalifu wake,wapo wahalifu wanaovaa suti na kutembelea gari ya bei mbaya,wakati wa kufanya uhalifu.Wacha hawa wanaotumia maandiko vibaya,ili watekeleze uhalifu wao.Ila hoja na misimamo wanayoitumia ni ya kiislamu kwa waislamu toka kwenye maandiko ya kiislamu ndo maana wanapata uungwaji mkono na wote wenye kuyasadiki hayo maandiko.
Hapa umepatia cholo yaani abdul qathem ni muhalifu aliye jidhihirisha kama malaika wa nuru aliye mix kweli na uongo kuwapoteza wanadamu duniani..takbir cholo... walahi hatukubali...Mhalifu yoyote hutumia mbinu yoyote,kutekeleza uhalifu wake,wapo wahalifu wanaovaa suti na kutembelea gari ya bei mbaya,wakati wa kufanya uhalifu.Wacha hawa wanaotumia maandiko vibaya,ili watekeleze uhalifu wao.
Mhalifu siku zote anajificha kwenye mgongo wa aina Fulani,ili asitambulikane ki urahisi,hawa sio waislamu,ndio maana wanajificha kwenye kivuli cha uislamu.Fikiria akilini mwako,ikiwa hawa ni kikundi kidogo sana,kwa nini wasidhibitiwe mara moja na nchi zenye nguvu.
Wanatafuta swawabu kwa AllahDini ya haki inafanya yake
Leo mashambulizi ya ndege za marekani na washiriki wake,dhidi ya kundi LA ISIS,huko Syria yameua watu 102,watoto wakiwa 42,
Mambo kama haya,ndio yanawapa hasira Waislam duniani kote,wanaona Marekani na washirika wake(Judeo Christianity ) wanataka kuuangamiza Uislam,kwaiyo makundi kama ISIS,yanatafuta soft target na kulipiza kisasi,
Kila mislam anaamini kwamba,uislam na uarabu,umeshushwa hadhi na umedharaulika sana,wanataka kurudisha hadhi waliyokuwa nayo karne zilizopita,adui yao mkubwa ni Ukristo,(marekani,western culture,)
Kwa hiyo kumbe kuna Mungu zaid ya mmoja
AminaRaha ya milele uwape ee bwana na mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani. Amina
Halafu wamefungaDini ya haki inafanya yake
Wale antibaraka , wale jamaa hawakua wa Sayari hii wale!!Hivi Africa ya kati imeishia wapi civil war kati ya seleka na antibaraka ...???
Uyu babu ndio kaweka 7 au macho yangu?apo wanafanyaje?