Wakristo Wakesha na Kushinda Makanisani Wakimuombea Heri Rais Samia huku Amani na Utulivu Vikitamalaki Nchini kote

Wakristo Wakesha na Kushinda Makanisani Wakimuombea Heri Rais Samia huku Amani na Utulivu Vikitamalaki Nchini kote

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
36,354
Reaction score
23,760
Ndugu Zangu Watanzania,

Wakristo Mbalimbali Wamekesha na kushinda Makanisani Wakimuombea Heri Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ambapo waumini hao ambao wanasherehekea Sikukuu ya Chrismas Ikiwa Ni kumbukumbu ya kUzaliwa Kwa Yesu kristo.

Ambapo wengi wameonyesha kuridhishwa ,kufurahishwa na kukoshwa na hali ya Amani na utulivu vilivyo tawala na kutamalaki hapa Nchini. Ambavyo vimetoa nafasi kwa wakristo wote kufanya ibada zao kwa utulivu mkubwa bila bugudha wala hofu wala wasiwasi wala kitisho chochote kile cha kiusalama.

Hali iliyopelekea na kuwafanya kumshukuru sana Mungu kwa kuwainulia Ama kuliinulia Taifa Rais Samia Kama Mkuu wa Nchi , serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama. Ambapo wamesema na kudai kuwa uimara ,ushupavu , umadhubuti,uhodari na umakini wa Rais Samia ndio Umelifanya Taifa kuendelea kuwa katika hali ya amani na utulivu na hivyo kutoa nafasi kwa watu wote walio na Dini na wasio na Dini kufanya shughuli zao kwa amani.

Kwa hakika Rais Samia anaendelea kudhihirisha ya kuwa yeye ni chaguo la Mungu aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kulitumikia Taifa hili na watanzania wote kwa ujumla wake. Ndio Maana tumevuka milima na mabonde na kubakia salama. Ndio maana tumevuka na kukwea vilele vyote vilivyojitokeza mbele yetu kama Taifa.

Tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kuendelea kudumisha amani na utulivu wetu ambavyo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu. Tunaumaliza Mwaka na kuingia mwaka mpya tukiwa Tumeungana na kushikamana kwa pamoja Kama Taifa.

Mama anatuvusha salama na kutufikisha Ng'ambo ya pili salama salimini. Tunaelekea Nchi ya ahadi , Nchi ya asali na Maziwa ,Nchi ya Matumaini na yenye kumfanya kila mmoja wetu kutimiza ndoto zake. Rais Wetu Mpendwa anabakia kuwa Shujaa wetu na Jemedari hodari.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu Zangu Watanzania,

Wakristo Mbalimbali Wamekesha na kushinda Makanisani Wakimuombea Heri Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ambapo waumini hao ambao wanasherehekea Sikukuu ya Chrismas Ikiwa Ni kumbukumbu ya kUzaliwa Kwa Yesu kristo.

Ambapo wengi wameonyesha kuridhishwa ,kufurahishwa na kukoshwa na hali ya Amani na utulivu vilivyo tawala na kutamalaki hapa Nchini. Ambavyo vimetoa nafasi kwa wakristo wote kufanya ibada zao kwa utulivu mkubwa bila bugudha wala hofu wala wasiwasi wala kitisho chochote kile cha kiusalama.

Hali iliyopelekea na kuwafanya kumshukuru sana Mungu kwa kuwainulia Ama kuliinulia Taifa Rais Samia Kama Mkuu wa Nchi , serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama. Ambapo wamesema na kudai kuwa uimara ,ushupavu , umadhubuti,uhodari na umakini wa Rais Samia ndio Umelifanya Taifa kuendelea kuwa katika hali ya amani na utulivu na hivyo kutoa nafasi kwa watu wote walio na Dini na wasio na Dini kufanya shughuli zao kwa amani.

Kwa hakika Rais Samia anaendelea kudhihirisha ya kuwa yeye ni chaguo la Mungu aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kulitumikia Taifa hili na watanzania wote kwa ujumla wake. Ndio Maana tumevuka milima na mabonde na kubakia salama. Ndio maana tumevuka na kukwea vilele vyote vilivyojitokeza mbele yetu kama Taifa.

Tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kuendelea kudumisha amani na utulivu wetu ambavyo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu. Tunaumaliza Mwaka na kuingia mwaka mpya tukiwa Tumeungana na kushikamana kwa pamoja Kama Taifa.

Mama anatuvusha salama na kutufikisha Ng'ambo ya pili salama salimini. Tunaelekea Nchi ya ahadi , Nchi ya asali na Maziwa ,Nchi ya Matumaini na yenye kumfanya kila mmoja wetu kutimiza ndoto zake. Rais Wetu Mpendwa anabakia kuwa Shujaa wetu na Jemedari hodari.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sema WATU WA MUNGU MWAMPOSA! usituunganishe wote
 
Ndugu Zangu Watanzania,

Wakristo Mbalimbali Wamekesha na kushinda Makanisani Wakimuombea Heri Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ambapo waumini hao ambao wanasherehekea Sikukuu ya Chrismas Ikiwa Ni kumbukumbu ya kUzaliwa Kwa Yesu kristo.

Ambapo wengi wameonyesha kuridhishwa ,kufurahishwa na kukoshwa na hali ya Amani na utulivu vilivyo tawala na kutamalaki hapa Nchini. Ambavyo vimetoa nafasi kwa wakristo wote kufanya ibada zao kwa utulivu mkubwa bila bugudha wala hofu wala wasiwasi wala kitisho chochote kile cha kiusalama.

Hali iliyopelekea na kuwafanya kumshukuru sana Mungu kwa kuwainulia Ama kuliinulia Taifa Rais Samia Kama Mkuu wa Nchi , serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama. Ambapo wamesema na kudai kuwa uimara ,ushupavu , umadhubuti,uhodari na umakini wa Rais Samia ndio Umelifanya Taifa kuendelea kuwa katika hali ya amani na utulivu na hivyo kutoa nafasi kwa watu wote walio na Dini na wasio na Dini kufanya shughuli zao kwa amani.

Kwa hakika Rais Samia anaendelea kudhihirisha ya kuwa yeye ni chaguo la Mungu aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kulitumikia Taifa hili na watanzania wote kwa ujumla wake. Ndio Maana tumevuka milima na mabonde na kubakia salama. Ndio maana tumevuka na kukwea vilele vyote vilivyojitokeza mbele yetu kama Taifa.

Tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kuendelea kudumisha amani na utulivu wetu ambavyo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu. Tunaumaliza Mwaka na kuingia mwaka mpya tukiwa Tumeungana na kushikamana kwa pamoja Kama Taifa.

Mama anatuvusha salama na kutufikisha Ng'ambo ya pili salama salimini. Tunaelekea Nchi ya ahadi , Nchi ya asali na Maziwa ,Nchi ya Matumaini na yenye kumfanya kila mmoja wetu kutimiza ndoto zake. Rais Wetu Mpendwa anabakia kuwa Shujaa wetu na Jemedari hodari.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Watu wakiongea maneno machafu kwa Rais kutokana na post zako Roho yako inakuwa happy kabisa
 
Ndugu Zangu Watanzania,

Wakristo Mbalimbali Wamekesha na kushinda Makanisani Wakimuombea Heri Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ambapo waumini hao ambao wanasherehekea Sikukuu ya Chrismas Ikiwa Ni kumbukumbu ya kUzaliwa Kwa Yesu kristo.

Ambapo wengi wameonyesha kuridhishwa ,kufurahishwa na kukoshwa na hali ya Amani na utulivu vilivyo tawala na kutamalaki hapa Nchini. Ambavyo vimetoa nafasi kwa wakristo wote kufanya ibada zao kwa utulivu mkubwa bila bugudha wala hofu wala wasiwasi wala kitisho chochote kile cha kiusalama.

Hali iliyopelekea na kuwafanya kumshukuru sana Mungu kwa kuwainulia Ama kuliinulia Taifa Rais Samia Kama Mkuu wa Nchi , serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama. Ambapo wamesema na kudai kuwa uimara ,ushupavu , umadhubuti,uhodari na umakini wa Rais Samia ndio Umelifanya Taifa kuendelea kuwa katika hali ya amani na utulivu na hivyo kutoa nafasi kwa watu wote walio na Dini na wasio na Dini kufanya shughuli zao kwa amani.

Kwa hakika Rais Samia anaendelea kudhihirisha ya kuwa yeye ni chaguo la Mungu aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kulitumikia Taifa hili na watanzania wote kwa ujumla wake. Ndio Maana tumevuka milima na mabonde na kubakia salama. Ndio maana tumevuka na kukwea vilele vyote vilivyojitokeza mbele yetu kama Taifa.

Tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kuendelea kudumisha amani na utulivu wetu ambavyo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu. Tunaumaliza Mwaka na kuingia mwaka mpya tukiwa Tumeungana na kushikamana kwa pamoja Kama Taifa.

Mama anatuvusha salama na kutufikisha Ng'ambo ya pili salama salimini. Tunaelekea Nchi ya ahadi , Nchi ya asali na Maziwa ,Nchi ya Matumaini na yenye kumfanya kila mmoja wetu kutimiza ndoto zake. Rais Wetu Mpendwa anabakia kuwa Shujaa wetu na Jemedari hodari.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

View: https://youtube.com/shorts/3MPJlAUOTtI?si=81Yq_w8KCAQf2YER
Bila shaka wewe ni miongoni mwa hawa wajinga na wapumbavu wachache wanaosemwa na Askofu Mkuu Ruwaichi hapa
 
Ndugu Zangu Watanzania,

Wakristo Mbalimbali Wamekesha na kushinda Makanisani Wakimuombea Heri Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ambapo waumini hao ambao wanasherehekea Sikukuu ya Chrismas Ikiwa Ni kumbukumbu ya kUzaliwa Kwa Yesu kristo.

Ambapo wengi wameonyesha kuridhishwa ,kufurahishwa na kukoshwa na hali ya Amani na utulivu vilivyo tawala na kutamalaki hapa Nchini. Ambavyo vimetoa nafasi kwa wakristo wote kufanya ibada zao kwa utulivu mkubwa bila bugudha wala hofu wala wasiwasi wala kitisho chochote kile cha kiusalama.

Hali iliyopelekea na kuwafanya kumshukuru sana Mungu kwa kuwainulia Ama kuliinulia Taifa Rais Samia Kama Mkuu wa Nchi , serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama. Ambapo wamesema na kudai kuwa uimara ,ushupavu , umadhubuti,uhodari na umakini wa Rais Samia ndio Umelifanya Taifa kuendelea kuwa katika hali ya amani na utulivu na hivyo kutoa nafasi kwa watu wote walio na Dini na wasio na Dini kufanya shughuli zao kwa amani.

Kwa hakika Rais Samia anaendelea kudhihirisha ya kuwa yeye ni chaguo la Mungu aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kulitumikia Taifa hili na watanzania wote kwa ujumla wake. Ndio Maana tumevuka milima na mabonde na kubakia salama. Ndio maana tumevuka na kukwea vilele vyote vilivyojitokeza mbele yetu kama Taifa.

Tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kuendelea kudumisha amani na utulivu wetu ambavyo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu. Tunaumaliza Mwaka na kuingia mwaka mpya tukiwa Tumeungana na kushikamana kwa pamoja Kama Taifa.

Mama anatuvusha salama na kutufikisha Ng'ambo ya pili salama salimini. Tunaelekea Nchi ya ahadi , Nchi ya asali na Maziwa ,Nchi ya Matumaini na yenye kumfanya kila mmoja wetu kutimiza ndoto zake. Rais Wetu Mpendwa anabakia kuwa Shujaa wetu na Jemedari hodari.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unaliwa wewe, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumuombea heri huyu jini subiani aliyenyonya damu za Watanganyika zaidi ya elfu kumi, huyu alaaniwe kifo chake kiwe cha mateso makali sana.
 
Ndugu Zangu Watanzania,

Wakristo Mbalimbali Wamekesha na kushinda Makanisani Wakimuombea Heri Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ambapo waumini hao ambao wanasherehekea Sikukuu ya Chrismas Ikiwa Ni kumbukumbu ya kUzaliwa Kwa Yesu kristo.

Ambapo wengi wameonyesha kuridhishwa ,kufurahishwa na kukoshwa na hali ya Amani na utulivu vilivyo tawala na kutamalaki hapa Nchini. Ambavyo vimetoa nafasi kwa wakristo wote kufanya ibada zao kwa utulivu mkubwa bila bugudha wala hofu wala wasiwasi wala kitisho chochote kile cha kiusalama.

Hali iliyopelekea na kuwafanya kumshukuru sana Mungu kwa kuwainulia Ama kuliinulia Taifa Rais Samia Kama Mkuu wa Nchi , serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama. Ambapo wamesema na kudai kuwa uimara ,ushupavu , umadhubuti,uhodari na umakini wa Rais Samia ndio Umelifanya Taifa kuendelea kuwa katika hali ya amani na utulivu na hivyo kutoa nafasi kwa watu wote walio na Dini na wasio na Dini kufanya shughuli zao kwa amani.

Kwa hakika Rais Samia anaendelea kudhihirisha ya kuwa yeye ni chaguo la Mungu aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kulitumikia Taifa hili na watanzania wote kwa ujumla wake. Ndio Maana tumevuka milima na mabonde na kubakia salama. Ndio maana tumevuka na kukwea vilele vyote vilivyojitokeza mbele yetu kama Taifa.

Tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kuendelea kudumisha amani na utulivu wetu ambavyo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu. Tunaumaliza Mwaka na kuingia mwaka mpya tukiwa Tumeungana na kushikamana kwa pamoja Kama Taifa.

Mama anatuvusha salama na kutufikisha Ng'ambo ya pili salama salimini. Tunaelekea Nchi ya ahadi , Nchi ya asali na Maziwa ,Nchi ya Matumaini na yenye kumfanya kila mmoja wetu kutimiza ndoto zake. Rais Wetu Mpendwa anabakia kuwa Shujaa wetu na Jemedari hodari.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tulikesha tukimuabudu Mungu wetu wa mbinguni aliye hai. Mungu wa haki,muumbaji na mtawala wa vyote mbinguni na duniani.
 
Unaliwa wewe, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumuombea heri huyu jini subiani aliyenyonya damu za Watanganyika zaidi ya elfu kumi, huyu alaaniwe kifo chake kiwe cha mateso makali sana.
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja.
 
1766640011682.jpg
 
Ndugu Zangu Watanzania,

Wakristo Mbalimbali Wamekesha na kushinda Makanisani Wakimuombea Heri Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ambapo waumini hao ambao wanasherehekea Sikukuu ya Chrismas Ikiwa Ni kumbukumbu ya kUzaliwa Kwa Yesu kristo.

Ambapo wengi wameonyesha kuridhishwa ,kufurahishwa na kukoshwa na hali ya Amani na utulivu vilivyo tawala na kutamalaki hapa Nchini. Ambavyo vimetoa nafasi kwa wakristo wote kufanya ibada zao kwa utulivu mkubwa bila bugudha wala hofu wala wasiwasi wala kitisho chochote kile cha kiusalama.

Hali iliyopelekea na kuwafanya kumshukuru sana Mungu kwa kuwainulia Ama kuliinulia Taifa Rais Samia Kama Mkuu wa Nchi , serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama. Ambapo wamesema na kudai kuwa uimara ,ushupavu , umadhubuti,uhodari na umakini wa Rais Samia ndio Umelifanya Taifa kuendelea kuwa katika hali ya amani na utulivu na hivyo kutoa nafasi kwa watu wote walio na Dini na wasio na Dini kufanya shughuli zao kwa amani.

Kwa hakika Rais Samia anaendelea kudhihirisha ya kuwa yeye ni chaguo la Mungu aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kulitumikia Taifa hili na watanzania wote kwa ujumla wake. Ndio Maana tumevuka milima na mabonde na kubakia salama. Ndio maana tumevuka na kukwea vilele vyote vilivyojitokeza mbele yetu kama Taifa.

Tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kuendelea kudumisha amani na utulivu wetu ambavyo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu. Tunaumaliza Mwaka na kuingia mwaka mpya tukiwa Tumeungana na kushikamana kwa pamoja Kama Taifa.

Mama anatuvusha salama na kutufikisha Ng'ambo ya pili salama salimini. Tunaelekea Nchi ya ahadi , Nchi ya asali na Maziwa ,Nchi ya Matumaini na yenye kumfanya kila mmoja wetu kutimiza ndoto zake. Rais Wetu Mpendwa anabakia kuwa Shujaa wetu na Jemedari hodari.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Ukiwa na tatizo la akili kama ulilo nalo, halafu ukachanganya na shetani aishiye ndani yako, na unafiki wako wa asili, si ajabu, kuandika na kuropoka chochote, kama unavyofanya. Laana ya Mungu itembee nawe na uzao wako, sawa na unafiki na uwongo wako.

Watumishi wa kweli wa Mungu hawana ushirika na mtawala muuaji na mdhulumaji mkubwa wa haki, kwa sababu kuua na kudhulumu ni dhambi mbele za Mungu, kamwe watumishi wa kweli wa Mungu hawawezi kumwombea baraka wakala wa shetani, wala hawawezi kuibariki dhambi.

Mungu wetu wa huruma, tunaomba uwajalie pumziko jema watanzania wote waliouliwa na watawala katili. Kisasi juu ya wauaji ni chaka BABA wa haki.
 
Ukiwa na tatizo la akili kama ulilo nalo, halafu ukachanganya na shetani aishiye ndani yako, na unafiki wako wa asili, si ajabu, kuandika na kuropoka chochote, kama unavyofanya. Laana ya Mungu itembee nawe na uzao wako, sawa na unafiki na uwongo wako.

Watumishi wa kweli wa Mungu hawana ushirika na mtawala muuaji na mdhulumaji mkubwa wa haki, kwa sababu kuua na kudhulumu ni dhambi mbele za Mungu, kamwe watumishi wa kweli wa Mungu hawawezi kumwombea baraka wakala wa shetani, wala hawawezi kuibariki dhambi.

Mungu wetu wa huruma, tunaomba uwajalie pumziko jema watanzania wote waliouliwa na watawala katili. Kisasi juu ya wauaji ni chaka BABA wa haki.
Acha kuropoka ropoka Hovyo kama lilevi la gongo.
 
Back
Top Bottom