Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,031
- 40,064
Hizi ni blogs uchwara wakishirikiana na BBc , hakuna ukweli eti wanakandamizwa ni uongo ...Wakristo wapo zenj, iran saudi kote wanafanya ibada zao labda makanisa.Kama wao wanaona ukrisito ni hatari kwa usalama na maadili ya taifa lao wana haki ya kuudhibiti.
Alafu hata hivyo wakristo ndani ya Iran wametengewa mpaka viti maalumu ndani ya bunge la nchi hiyo sasa sijui hizi habari za Iran kukandamiza wakristo zinatoka wapi?
Ttizo la hawa jamaa wanaweza kwenda nchi wakakuta kanisa la orthodox ila wao ni wakatoliki basi hawaweza kusali pamoja ndio kinawatia hofu . Orthodox wapo middle east na hao catholics hawapo kwa sana ndio wanaona kama wanatengwa.