KwiiiishaaaaKaangalie wakristo wa Ethiopia.Kidogo mtaanza kutembea uchi .
Mbona Ethiopia hakuna hizo mambo za kukaa uchi.
View: https://youtube.com/shorts/j3PjJ6nhQGo?si=lI1AdaVxAHZNsh8O
KwiiiishaaaaKaangalie wakristo wa Ethiopia.Kidogo mtaanza kutembea uchi .
Mbona Ethiopia hakuna hizo mambo za kukaa uchi.
You are also a fool if you believe Iranians are Persians.
Dini ya kiislamu kila siku nasema ni dini ya kishenzi na isiyojiamini na wanajua dini yao ni ya uongo na wakiruhusu watu wahubiri kuhusu Yesu kristo ambayo ndio njia ya kweli basi watu wengi watahama kwenye uislamu dini ya kulazimishaJuu ya meza sebuleni, Tina - si jina lake halisi - amefanya onyesho na miali ya chai, mayai ya rangi ya pastel, mishumaa na msalaba mdogo wa mbao. Ni njia yake mwenyewe, ya karibu ya kuashiria Pasaka.
Yeye na mume wake walibadili dini na kuwa Wakristo miaka mingi iliyopita, jambo ambalo katika nchi yao ya Iran, limekatazwa na sheria. Wanaweza kukamatwa wakati wowote.
Katiba ya Iran inatambua dini ndogo ndogo. Wakristo wa Armenia na Ashuru wanaweza kufuata dini zao, lakini wamepigwa marufuku kuwahubiria Wairani wengine au hata kuwaruhusu kuingia makanisani mwao.
![]()
Iran: The Christians celebrating Easter in secret
Iranians who have converted to Christianity from Islam can only practise their faith in secret.www.bbc.com
Ohoooo. Ushauri gani huoNenda wewe ukasherehekee hadharani
Religious of PeaceJuu ya meza sebuleni, Tina - si jina lake halisi - amefanya onyesho na miali ya chai, mayai ya rangi ya pastel, mishumaa na msalaba mdogo wa mbao. Ni njia yake mwenyewe, ya karibu ya kuashiria Pasaka.
Yeye na mume wake walibadili dini na kuwa Wakristo miaka mingi iliyopita, jambo ambalo katika nchi yao ya Iran, limekatazwa na sheria. Wanaweza kukamatwa wakati wowote.
Katiba ya Iran inatambua dini ndogo ndogo. Wakristo wa Armenia na Ashuru wanaweza kufuata dini zao, lakini wamepigwa marufuku kuwahubiria Wairani wengine au hata kuwaruhusu kuingia makanisani mwao.
![]()
Iran: The Christians celebrating Easter in secret
Iranians who have converted to Christianity from Islam can only practise their faith in secret.www.bbc.com
Kwa hio Vatican kuna msikiti ?Ukiona Imani Fulani inalinda dini yake kiasi hiki ujue kuna shida na hawajiamini maana wanajua wakiruhusu Uhuru wa kuabudu na kujenga makanisa ujue baada ya miaka 5 hiyo dini na watu wake wote watahama.
Ule utamaduni wa Uhuru wa kuabudu kama wa nchi za ulaya ukiruhisiwa nchi za kiarabu baada ya miaka kadhaa hakutakuwa tena wavaa kobazi...hawa jamaa wanajua udhaifu uliopo kwenye Imani Yao ndiyo maana wanalinda Kwa gharama kubwa acheni waendelee kumpigania MUNGU wao
Umeishia darasa la ngapi wewe!!!!Kwa hio Vatican kuna msikiti ?
Kutakuwaje na msikiti wakati hakuna hata muislam mmoja?Kwa hio Vatican kuna msikiti ?
Asa mbona Iran nchi ya kiislam na wakristo wanaishi poa na makanisa yapo .hakuna nchi ya kiislam ikanyima Uhuru wa kuabudu dini ingine.hata huko saudia kuna wakristo piaKutakuwaje na msikiti wakati hakuna hata muislam mmoja?
Niko memkwa bado nasoma .unataka kuniendeleza kielemu au kuniajir mkuuUmeishia darasa la ngapi wewe!!!!
Umeuliza Vatican kuna msikiti? Mi nimejibu kuwa hakuna kwa sababu hakuna WaislamAsa mbona Iran nchi ya kiislam na wakristo wanaishi poa na makanisa yapo .hakuna nchi ya kiislam ikanyima Uhuru wa kuabudu dini ingine.hata huko saudia kuna wakristo pia
Bora umempa jibu mkuu...Umeuliza Vatican kuna msikiti? Mi nimejibu kuwa hakuna kwa sababu hakuna Waislam
Umewahi kuona katika Jiji la Vatican Kuna swaliwa swala ya Eid ?Kila sehem kuna culture zaoJuu ya meza sebuleni, Tina - si jina lake halisi - amefanya onyesho na miali ya chai, mayai ya rangi ya pastel, mishumaa na msalaba mdogo wa mbao. Ni njia yake mwenyewe, ya karibu ya kuashiria Pasaka.
Yeye na mume wake walibadili dini na kuwa Wakristo miaka mingi iliyopita, jambo ambalo katika nchi yao ya Iran, limekatazwa na sheria. Wanaweza kukamatwa wakati wowote.
Katiba ya Iran inatambua dini ndogo ndogo. Wakristo wa Armenia na Ashuru wanaweza kufuata dini zao, lakini wamepigwa marufuku kuwahubiria Wairani wengine au hata kuwaruhusu kuingia makanisani mwao.
![]()
Iran: The Christians celebrating Easter in secret
Iranians who have converted to Christianity from Islam can only practise their faith in secret.www.bbc.com
Hakuna mtu anakatazwa kwenda kuswali sio Eid tu hata matambiko rukusaUmewahi kuona katika Jiji la Vatican Kuna swaliwa swala ya Eid ?Kila sehem kuna culture zao
Uliona wapi shughuli za waislamu vatican ? Acha ujinga hakuna hata muislamu mmoja .Hakuna mtu anakatazwa kwenda kuswali sio Eid tu hata matambiko rukusa
Ila tunalalamika China inagandamiza waislam!Kama wao wanaona ukrisito ni hatari kwa usalama na maadili ya taifa lao wana haki ya kuudhibiti.
Alafu hata hivyo wakristo ndani ya Iran wametengewa mpaka viti maalumu ndani ya bunge la nchi hiyo sasa sijui hizi habari za Iran kukandamiza wakristo zinatoka wapi?