Samia anahitaji kuwa strong zaidi ya hapo!! Hatuwezi sifia uhuni wa kina Gwajima!! Gwajima ni mshenzi Kama washenzi wengine Samia aongeze dozi!Kweli Mbowe kahamisha wengi, ulivyokua unawapiga spana Raisi ambao walikua waislamu kua ni dhaifu na wameharibu hii nchi, ukianza na Mwinyi, Jk tena ukawa unawatukana watu wa mwambao wa pwani Leo imekua Samia be strong. Kweli naamini sasa makapi yameondoka CDM.
Wewe na msaliti Zitto Kabwe tofauti yenu ni nini?. Maana ulimsema sana kipindi hicho.
your viewsGwajima siyo mkristo bali mjasiriliamali wa ukristo.
Tafadhali jifunze na uelewe kwa ufasaha tofauti yake.
Kuna sheria kufunga taasisi kwanza unaonywa, na unajieleza mwishoe unafungiwa. Hapo ni joto la kisiasa na mamlaka tu!Kama likikiuka taratibu litafungwa tu hakuna namna , yani tusifuate sheria kwakuwa haikuwahi kutekelezwa? Kila kitu kina mara yake ya kwanza , hakuna uhuru usiokuwa na mipaka ,pamoja naunga mkono reforms ila siungi mkono huu upuuzi wa gwajima, yani uharibu amani ya nchi kisa maslahi yako binafsi , lifungwe tu hilo kanisa
Inapokuwa kuna maslahi makubwa ya usalama wa nchi tunaangalia kipi kina priority kwanzaKuna sheria kufunga taasisi kwanza unaonywa, na unajieleza mwishoe unafungiwa. Hapo ni joto la kisiasa na mamlaka tu!
unajua maana ya nafsi wewe?Mnapambana na Yesu kuliko mnavyopambana na Shetani,why?
Mungu ni mmoja naye sio mtu usimfikirie kama wewe ulivyo na majini yako!
Yeye ana nafsi tatu... Hilo somo linahitaji akili kubwa sio hizo zako nusu kisodaπ€£
Hapana hatushambuliwi kama WAKRISTO. Usijumuishe mambo ukaleta udini usiojua madhara yakeWakristo tunashambuliwa, tujitetee!
- Gwajima
- Kitima
Kaa kimya
Mpe vidonge kakaHapana hatushambuliwi kama WAKRISTO. Usijumuishe mambo ukaleta udini usiojua madhara yake
Ww ndionunaewajua watanzania mengine yote porojowapiga kura wamechil wanasubiria karatasi yenyepicha waanze kuuliza "wasisiemu yukowapi mana hatutaki vita"πππππ
Kinyume chake ndio ukweli, Gwajima ipo video anayosikika akiongea ujinga kuhusu waislam.Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!
- Gwajima
- Kitima
HAMAS ndiyo wanauawaSiwezi kukaa kimya kwenye haki, endeleeni kunywa damu za wapalestina ila mjue tu mwisho huwa si mzuri kwa mtu anaedhulumu/uwa nafsi ambayo Mwenyezi Mungu ameharamisha isipokua kwa haki.
Wapo sahihi sana,nyie mnaopenda vita na fujo anzisheniwapiga kura wamechil wanasubiria karatasi yenyepicha waanze kuuliza "wasisiemu yukowapi mana hatutaki vita"πππππ
tuanzishe vita na nani?Wapo sahihi sana,nyie mnaopenda vita na fujo anzisheni
Na waislaam walio magerezani nao tusemaje Sisi waislaam?Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!
- Gwajima
- Kitima
Mzee Kibao alikuwa mkristo? Vipi Mdude? Dini yaweza huviza, kama sio kuondoa uwezo wa kufikiriWakristo tunashambuliwa, tujitetee!
- Gwajima
- Kitima
Acha ujinga wako hapoWakristo tunashambuliwa, tujitetee!
- Gwajima
- Kitima
Kumbuka lakini kuwa dini ulonayo (uislamu au ukristo) ni matokeo ya kutawaliwa na wazungu na waarabu. Ni ajali ya kihistoria na kijiografia, si kitu cha kujivunia na kutufanya waafrika tufarakane. Tunahitaji, juu ya yote, ukombozi wa kifikiramwambieni yesu/binadamu mwenzetu awatetee kenge nyie.
Mbona Mfti amekuwa akiongelea siasa na kuunga juudi au zile ni kaswida??Tena yule aliyekuwa mkoa wa DSM ndiye alikuwa napiga kampeni kabisa!siasa na dini havichangamani