webondo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,713
- 383
Ingawa PhotoShop imehusika... lakini umefikisha ujumbe!![]()
"Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM." tafakari kisha chukua hatua
Ingawa PhotoShop imehusika... lakini umefikisha ujumbe!![]()
"Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM." tafakari kisha chukua hatua
Mimi ni muislam lakini waislam wenzangu hamuwawezi wakristo, kwanza wako wengi na wana elimu kuliko sisi, sisi tumekalia majungu, uchawi na kulilia upendeleo. Kuchinja tunapata faida gani??? au hizo elfu tanotano? kwa nini tusisome tufanye kazi tuwe tunazipata zaidi ya hizo? hii dini nitaondoka siku za karibuni kujiunga na ukristu. Rais wetu hawezi kuongea lolote kututetea anajua litakalotokea hiyo siku atakaposema chochote. pia anatuogopa waislam kuwa tumamwita kafiri kama akiponda, anajua fujo zetu. Sijawahi kuona rais asiye na maamuzi kama huyu ni kama bendera anasubiri afundishwe nini cha kusema. Im out:majani7:
Tunaishi kwa upendo sisi ni jamii mmoja, ki-historia waislam ndo wanachinja miaka yote, na hata kijijini kwetu ikiwa kuna sherehe kwa mkiristo anaitwa muislam achinje ili sisi ambao tunaamini mkiristo hawezi kuchinja tule nyama hiyo..! Hatufanyi mashindano ya kuchinja au kitu cha aina hiyo na ndo maana mabucha ya kiti moto yapo kibao na tunayaheshimu..! Ni suala la kiimani kwamba nyama akichinja muislam mkiristo anao uwezo wa uila bila shida wakati muislam hali nyama aliyochinja mukristo. Hili siyo suala la jana wa juzi ni tokea enzi na enzi, labda uniambie kuwa mnataka mabadiliko sasa
Ibada ipi tena mnashiriki? Ibada ipo katika ile dakika ya kuchinja siyo katika dakika za kula. Saa ya mnuso ni mnuso tu, hakuna ibada yoyote pale, piga pilau ng'ombe ndugu yangutatizo tulikuwa hatujui kwamba mnafanya ibada mnapochinja. Sisi itakuwa ngumu kushiriki ibada ya watu ambao wana imani tofauti
Na mimi ndo nadai tuishi kama zamani ambapo wakristo walikuwa wanatuomba tuwachinjie wanyama kama kuna shughuli ambayo mnuso wake utahudhuriwa na waislam..! Na ndivyo tumeishi siku zote, wakiristo wako flexible I mean dini yao haiwakatazi wao kula nyama aliyochinja muislam ila uislamu unawakataza waisilamu kula nyama iliyochinjwa na mkiristo. Nashindwa kuelewa kwa nini suala hili linaibuka leo wakati tumeishi miaka na miaka? Au ndo kusema kuwa wakiristo walikuwa wananyikmwa haki yao ya msingi ya kuwachinjia waislamu na kwamba sasa ndo wameamka na wanadai haki hiyo?Hapo awali tuliishije? kwanini tusirudi kwenye maisha ya tangu mwanzo. Ni nini kilichotufikisha hapa? Kuna mtu alileta hapa ushahidi wa Quran kwamba waislamu hawazuiliwi kula nyama iliyochinjwa na Mkristo. If that is the case, wana sababu gani ya kuleta ugomvi kwenye masuala ya kuchinja? Kwa hakika serikali ichukue maamuzi magumu kumaliza tofauti na choko choko hizi zisizo na maana.
Jenga hoja hasira na matusi hayatakusaidia, zaidi zaidi unatuambia akili na nywele kila mmoja ana zake wakati wewe una upara.We unaumwa sana wewe, tena unaumwa kichwani. Kama ni suala la kiimani, imani ya nani? Yaani mimi niishi kwa imani yako?
Sasa kama ambavyo kitimoto ni haramu kwako basi na ndivyo ilivyo nyama iliyochinjwa na Mkristo. Hukuelekezwa kutuchinjia kwenye kitabu chako, umeelekezwa USILE, nukta
Hiyo kitu ni najisi na kamwe huwezi kuibariki kuwa takatifu.haaa! Sawa ila wanaona wana haki ya kuchinja tunawaomba waje wanichie kwny machinjio yetu ya nguruwe.
Jenga hoja hasira na matusi hayatakusaidia, zaidi zaidi unatuambia akili na nywele kila mmoja ana zake wakati wewe una upara.
Siyo mimi ila na mimi nimecopy kutka kwenye jukwaa hili hapa: https://www.jamiiforums.com/dini-im...yama-iliyochinjwa-na-waristo-na-wayahudi.html.Na mimi ndo nadai tuishi kama zamani ambapo wakristo walikuwa wanatuomba tuwachinjie wanyama kama kuna shughuli ambayo mnuso wake utahudhuriwa na waislam..! Na ndivyo tumeishi siku zote, wakiristo wako flexible I mean dini yao haiwakatazi wao kula nyama aliyochinja muislam ila uislamu unawakataza waisilamu kula nyama iliyochinjwa na mkiristo. Nashindwa kuelewa kwa nini suala hili linaibuka leo wakati tumeishi miaka na miaka? Au ndo kusema kuwa wakiristo walikuwa wananyikmwa haki yao ya msingi ya kuwachinjia waislamu na kwamba sasa ndo wameamka na wanadai haki hiyo?
5. Leo mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri. Na chakula cha walio pewa Kitabu ni halali kwenu, na chakula chenu ni halali kwao. Na pia wanawake wema miongoni mwa Waumini, na wanawake wema miongoni mwa walio pewa Kitabu kabla yenu, mtakapo wapa mahari yao, mkafunga nao ndoa, bila ya kufanya uhasharati wala kuwaweka kinyumba. Na anaye kataa kuamini bila shaka a'mali yake![]()
Naona kazi ndo imeanza, haya maandiko yanapatikana wapi? I mean kitabu gani? Kama ni bible ni agano gani? msitari wa ngapi?Siyo mimi ila na mimi nimecopy kutka kwenye jukwaa hili hapa: https://www.jamiiforums.com/dini-im...yama-iliyochinjwa-na-waristo-na-wayahudi.html.
kama ushahidi kwamba waislamu nao wameruhusiwa kula vilivyochinjwa na wakristu. Kwa kuwa kuchinja ni ajira, kwanini waislamu pekee ndiyo wawe na access kwenye ajira hiyo?
Asante kwa matusi ndugu yangu, mshindi weweWewe sikuona hoja yako, eti UPENDO. Haya mbona wewe usinipende kiasi cha kula mbuzi niliyemchinja?
Kuhusu akili, we huna
Ugomvi wameunzisha wenyewe (MUSLIM)!!! Wanatuona sisi makafiri tukichinja nyama. Kuna nchi nyingi sana duniani zinaishi na udini hivihivi. Sema, kwa Tanzania bara, Wakristo wakisusa kununua nyama iliyochinjwa na Waislamu, WAISILAMU wengi mtafunga bucha au kubadili biashara kabisa!!!Hii c dalili nzuri hata kidogo.. Tumeanza na mabucha.. Nini kitakachofuata baadae..? Maana tunashabikia lakini hebu tuangalie huko mbele kwa mwendo huu.. Ninawafikiria wanangu wanaokuwa katika mkanganyiko huu.. Ninawatengenezea mazingira gani ya kuishi kama Watanzania..? Naogopa sana.. Serious..
Safi sana.. Kwa sababu JK alikuwa anafikiri anaikomoa CDM sasa atavuna upuuzzzi aliupanda...
Hujaona kwamba yamenukuliwa kutoka kwenye Quran?Naona kazi ndo imeanza, haya maandiko yanapatikana wapi? I mean kitabu gani? Kama ni bible ni agano gani? msitari wa ngapi?