![]()
Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM. tafakari kisha chukua hatua
Safi sana.. Kwa sababu JK alikuwa anafikiri anaikomoa CDM sasa atavuna upuuzzzi aliupanda...
Tunaishi kwa upendo sisi ni jamii mmoja, ki-historia waislam ndo wanachinja miaka yote, na hata kijijini kwetu ikiwa kuna sherehe kwa mkiristo anaitwa muislam achinje ili sisi ambao tunaamini mkiristo hawezi kuchinja tule nyama hiyo..! Hatufanyi mashindano ya kuchinja au kitu cha aina hiyo na ndo maana mabucha ya kiti moto yapo kibao na tunayaheshimu..! Ni suala la kiimani kwamba nyama akichinja muislam mkiristo anao uwezo wa uila bila shida wakati muislam hali nyama aliyochinja mukristo. Hili siyo suala la jana wa juzi ni tokea enzi na enzi, labda uniambie kuwa mnataka mabadiliko sasaKikrstu hakuna kitu inayoitwa kunyonga.... Hivyo basi usiingize imani ya kiislamu kwa wakristu
Hii picha ilishaletwa kitambo humu michakato ilipoanza....![]()
"Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM." tafakari kisha chukua hatua
Unajuwa walifanya nini kwenye bucha za nguruwe huku dar?Tunaishi kwa upendo sisi ni jamii mmoja, ki-historia waislam ndo wanachinja miaka yote, na hata kijijini kwetu ikiwa kuna sherehe kwa mkiristo anaitwa muislam achinje ili sisi ambao tunaamini mkiristo hawezi kuchinja tule nyama hiyo..! Hatufanyi mashindano ya kuchinja au kitu cha aina hiyo na ndo maana mabucha ya kiti moto yapo kibao na tunayaheshimu..! Ni suala la kiimani kwamba nyama akichinja muislam mkiristo anao uwezo wa uila bila shida wakati muislam hali nyama aliyochinja mukristo. Hili siyo suala la jana wa juzi ni tokea enzi na enzi, labda uniambie kuwa mnataka mabadiliko sasa
Tunachinja mpaka Mbogo..!mbona nyama za porini mnakula na hazichinjwi jaribu kuchinja mbogo.
bora kuwepo HALAL waislam na hiyo UNHALAL wakristo butcher
Ndio maana mimi nyama nayokula ni Kitimoto tu nikiwa mjini, uku nakoishi yangekuwepo mabucha ya Kikristo ningekuwa nabadilisha nyama mara kwa mara. Nikikosa Kitimoto uwa nakula samaki.Hii ndiyo sawa. Kila mtu ale nyama iliyochinjwa kwa ibada yake. Safi kabisa hapa hakuna vita.
Sisi hatuna ugomvi na mtu,tunachotaka ni kuchinja wanyama wetu wenyewe!Kama kuchinja ni vurugu,basi na iwe hivyo!Ndugu zangu,vijana wenzangu naomba hili la dini tusilishabikie sana coz mwisho wake sio mzuri,bora ya ukabila unaweza ukakosa rafiki wa kabila fulani lakini nani hana jamaa au rafiki wa dini tofauti na yake....ebu tafakari hili kuna kina Peter Omar,John Mohamed,Mwajuma Rafael na wengine tuliochanganyika mtatuweka kundi gani?Stop this please.
Teh teh teh!utavunjwa mbavu na kibagalashia chako!Tunachinja mpaka Mbogo..!
Mkuu sosoliso, nakusihi wala usipeleke mawazo yako mbali. Lione hili kama jambo la kawaida tu. Kwenye baadhi ya nchi kuna maduka ya vyakula ambamo wanauza nyama halal na wanaandika na kunadi hivyo. Wala halionekani jambo la ajabu. Na hili tukilichukulia kama ni jambo la kawaida tu, wala hatutafika kule watu wanakohofia.Hii c dalili nzuri hata kidogo.. Tumeanza na mabucha.. Nini kitakachofuata baadae..? Maana tunashabikia lakini hebu tuangalie huko mbele kwa mwendo huu.. Ninawafikiria wanangu wanaokuwa katika mkanganyiko huu.. Ninawatengenezea mazingira gani ya kuishi kama Watanzania..? Naogopa sana.. Serious..
Tunachinja mpaka Mbogo..!