TULIVYOAMLISHWA �0
2 SS WAISLAM NA ALLAH.
*************** �0
2**************
( 3 )al maidah-
Mmeharimishiwa nyamafu, na damu,na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na aliye kufa kwa kupigwapembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. Na pia ni haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu. Na ni haramu kupiga ramli. Hayo yote ni upotovu. Leo walio kufuru wamekata tamaa na Dini yenu; basi msiwaogope, bali niogopeni Mimi. Leo nimekukamiliish �0
2ieni Dini yenu, na nimekutimizieni �0
2 neema yangu, na nimekupendeleen �0
2i UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu......
*************** �0
2************
usiongeee tu bila ya ushaidi,uislam c dini ya kikundi kinachotegemea maamuzi ya kikao,