Wakristo bucha hii hapa

Kwa maoni yako nini kifanyike?
 
Kwa maoni yako nini kifanyike?
Hapo awali tuliishije? kwanini tusirudi kwenye maisha ya tangu mwanzo. Ni nini kilichotufikisha hapa? Kuna mtu alileta hapa ushahidi wa Quran kwamba waislamu hawazuiliwi kula nyama iliyochinjwa na Mkristo. If that is the case, wana sababu gani ya kuleta ugomvi kwenye masuala ya kuchinja? Kwa hakika serikali ichukue maamuzi magumu kumaliza tofauti na choko choko hizi zisizo na maana.
 
Ni mimi.....koran inasema ukimtaja mungu tu kama unachinja mnyama na kama wewe ni mtu wa kitabu(biblia) inatosha
 


“Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM.” tafakari kisha chukua hatua

kwa kweli ni tazizo, hasa kuwa na viongozi vilaza, mbna hatari sana.
 
Imetulia hii, tena inafaa mabucha yote yabandike lebo ya aina hii ili kila mtu achague nyama aipendayo vinginevyo tutalishana vubudu tuu, watu miaka yote wananyonga leo wanadai wachinje.

haaa! Sawa ila wanaona wana haki ya kuchinja tunawaomba waje wanichie kwny machinjio yetu ya nguruwe.
 


“Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM.” tafakari kisha chukua hatua

No i think ni sawa....kwa huyu amefanya ustaarabu kuweka tangazio kabisa....kwani waislam hawatapita hapo....tatizo linakuja ..pale bucha ya kuchinjwa na wakristo ....inauzwa kwa waislam bila ya kujua..so hawa wao..wamefanya jambo la busara na waislam hawana tatizo nalo....wamekua wawazi...
 
hapa kijana ustadh juma sidhani kama ataweza kusogelea..

ushamba na ulimbukeni wa hawa wasiotaka kujifikirisha, ndo maana wanahanya na ishu ya kawaida km hyo. Ok km suala la kuchinja why kwny kamati za wachinjaji wawepo wa upande 1? Sugueni kwnya miguu zenu ndo muaze kubwabwaja.
 

udhaifu wa viongozi wako ndo uliotufikisha hapa.
 
Safi sana.. Kwa sababu JK alikuwa anafikiri anaikomoa CDM sasa atavuna upuuzzzi aliupanda...

yamemrudia, yeye alifikiri kufanya siasa ya fitina kwa kutumia udini ingemsaidia kumbe ndo inambomoa hv sasa. Hana uelewa ila alipewa kugombea kwa kumletea fitina mzee wetu dr. Salim ndo yanawarudia hvyo.
 
yaani mpaka inakera kabisa, hivi kwa nini uongozi hauchukua hatua zinanoeleweka? jibu ninalo "tuna rais dhaifu sana"

kweli huyu ni rais wa matajiri na mafisadi. Hana lolote yeye ni ombwe.
 


"Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM." tafakari kisha chukua hatua
Sasa tugawane kila kitu: shule, hospitali, Mabasi, mikoa, nyumba za kupanga, maduka, vyuo vikuu etc
 
Sasa tugawane kila kitu: shule, hospitali, Mabasi, mikoa, nyumba za kupanga, maduka, vyuo vikuu etc

Na vyama vya siasa tugawane, maana kuna chama kimoja kinara wa huu ukyuma.
 
bora kuwepo HALAL waislam na hiyo UNHALAL wakristo butcher

Call it the way you like, lkn najua hii ikianza rasmi wenyewe mtaanza kuja kununua. Si mwanzo mlipinga kitimoto na sasa tunapigana vikumbo kwa Mama Kamche giza likiingia!
 

We unaumwa sana wewe, tena unaumwa kichwani. Kama ni suala la kiimani, imani ya nani? Yaani mimi niishi kwa imani yako?

Sasa kama ambavyo kitimoto ni haramu kwako basi na ndivyo ilivyo nyama iliyochinjwa na Mkristo. Hukuelekezwa kutuchinjia kwenye kitabu chako, umeelekezwa USILE, nukta
 
Hakika you have made my day! Uko sahihi kabisaaaa!

Hakuna haja ya kuwa na hofu.....duniani kote kwenye mchanganyiko wa imani huu ndio utaratibu.......kumbuka suala la kuchinja kiislamu ni la waislamu tu na halihusu imani zingine......mazoea tulokuwa nayo hayakuwa sahihi

 
tafakari wewe kwanza kabla ya kiandika upuuzi wako huu,uliloandika apa linajenga nini,ww umechukia hatua gani sa kuweza kisaidia hayo yasitokee?

hahahaha,wadini utawajua tu. Wakiguswa masilahi yao wanakuwa wakali kama bangi tehteh!
 
Siamini kama tumefikia hapa jamani.....this is too bad!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…