Imetulia hii, tena inafaa mabucha yote yabandike lebo ya aina hii ili kila mtu achague nyama aipendayo vinginevyo tutalishana vubudu tuu, watu miaka yote wananyonga leo wanadai wachinje.![]()
"Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM." tafakari kisha chukua hatua
Mkuu, hii picha imepigwa kutoka upande gani wa nchi hii?
Tiba
Mkuu, hii picha imepigwa kutoka upande gani wa nchi hii?
Tiba
![]()
Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM. tafakari kisha chukua hatua
Duh hii kali natamani hili butcher lingekuwa mtaani wangu.
![]()
Hii c dalili nzuri hata kidogo.. Tumeanza na mabucha.. Nini kitakachofuata baadae..? Maana tunashabikia lakini hebu tuangalie huko mbele kwa mwendo huu.. Ninawafikiria wanangu wanaokuwa katika mkanganyiko huu.. Ninawatengenezea mazingira gani ya kuishi kama Watanzania..? Naogopa sana.. Serious..
mbona nyama za porini mnakula na hazichinjwi jaribu kuchinja mbogo.Imetulia hii, tena inafaa mabucha yote yabandike lebo ya aina hii ili kila mtu achague nyama aipendayo vinginevyo tutalishana vubudu tuu, watu miaka yote wananyonga leo wanadai wachinje.
Kikrstu hakuna kitu inayoitwa kunyonga.... Hivyo basi usiingize imani ya kiislamu kwa wakristuImetulia hii, tena inafaa mabucha yote yabandike lebo ya aina hii ili kila mtu achague nyama aipendayo vinginevyo tutalishana vubudu tuu, watu miaka yote wananyonga leo wanadai wachinje.
Hakuna haja ya kuwa na hofu.....duniani kote kwenye mchanganyiko wa imani huu ndio utaratibu.......kumbuka suala la kuchinja kiislamu ni la waislamu tu na halihusu imani zingine......mazoea tulokuwa nayo hayakuwa sahihi
![]()