Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
hahahahahaaa.........!!!!Kila kocha wa yanga lazima na style yake ya kuvaa. Huyu wa sasa kaibuka na skin tight
hahahahahaaa.........!!!!Kila kocha wa yanga lazima na style yake ya kuvaa. Huyu wa sasa kaibuka na skin tight
Laana hiyo na mpaka watembee kwa magoti wakimuomba msamaha Mwenyekiti wetu hatukubali.Yaani wee acha tuu... wasiporudisha pesa ya Mbuyi Twite watakiona mwaka huu....hawajui timu ya ufundi ipo kazini...
Mipango yenu inasababisha marefa wanafungiwa!
Wakikusikia unasema ukweli watakufukuza kama Tom Saintfet, mshika mfuko. Mwesigwa, na Sendeu wao.
Nimefurahi kubadilishana mawazo na mkongwe, JF tunahitaji uzoefu wako. Mfikishie salamu mzee Mzimba.Mkuu mie ni Yanga asili, wenzangu ni akina marehemu Ng'ozoma, kumbe hawa wote walioko katika uongozi, ni vijana wa sasa kumbe watafanya makosa wakinifukuza, acha timu irudi Dar kutoka mikoani tutadai watupe taarifa ya haya yote, Yanga kwanza, pesa zao baadaye.
Hayanunuliki eneo lenu tu kwa kuwa walala mzungu wa nne wengi.Mtaani shwariiii..hakuna kelele.Magazeti si ya kugombania, yapo tu...mfano " Yanga walala mzungu wa nne..." nk.Hayanunuliki jamani....
Mbwenuuuuuuuuuh ................. yakamtera Yanga!!!!!!!!!!!!!! 1 - 0 front ya My wife wake... is very fantastic
Hawa YANGA pamoja na wachezaji wa mataifa sita ... Congo, Burundi, Tanzania, Ghana, Uganda na Rwanda bado wanaendelea na tabia ya kunawa bila kula ............. Iweeeeeeeeeeeeee
Walimwona Jamaa mmoja anaitwa Asamoah...wakajua atakuwa kama Gyan wa Ghana......sasa wakachukua Didier wakijua atakuwa kama Drogba kumbe mtumba haha ha hahaUsajili wote tuliofanya lakini bado tunafungwa, nadhani sasa tujiulize kama pesa zilizotumika zimeleta watalii ama wachezaji, si ajabu tukala kipigo kutoka kwa wanetu hapo Kirumba kama mwaka wa jana, loooh, afadhali Tegete acheze maana....!