Wakongwe tumeamua kurudi JF

Wakongwe tumeamua kurudi JF

Subiria matusi kutoka kwa wajukuu zako uliowavisha nepi wakati unahangaika kufungua akaunti jambo forum ukiwa internet cafe......
 
Uzee unaanzia ngapi ili tujue tuone kama tunajumuika au tunakuachia😅
 
Back
Top Bottom