kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Hivi sisi Wakongo na Watanzania hua tuna asili moja au?
Yaani mkongo kama mimi hivi
Nikiwa safarini nikikutana na raia wa INCH nyingine tofauti na Tanzania hua nahisi mwili wangu una kabaridi fulani hata kama tunaongea lugha moja utakuta sina shauku kabisa ya kuona nipo na mwenzangu.
Na hata kwa majanga mengi ambayo yanatukuta mara nyingi wa Tz wamekuwa mstari wa mbele kutufuta macho au kutuonea huruma.
Yaani mkongo kama mimi hivi
Nikiwa safarini nikikutana na raia wa INCH nyingine tofauti na Tanzania hua nahisi mwili wangu una kabaridi fulani hata kama tunaongea lugha moja utakuta sina shauku kabisa ya kuona nipo na mwenzangu.
Na hata kwa majanga mengi ambayo yanatukuta mara nyingi wa Tz wamekuwa mstari wa mbele kutufuta macho au kutuonea huruma.