Wakongo na Watanzania tuna asili moja?

Wakongo na Watanzania tuna asili moja?

Wacongo Mungu awabariki, wanaipenda sana nchi yetu hii na sisi tuna wapenda sana hawana chuki
 
Zile jamii zinazopakana na ziwa Tanganyika upande wa Drc wanazungumza kiswahili kama kile cha Drc mashariki ?
yap mkuu ,walau wao wana swahili bora,tofauti na wale wa kinshansa au katanga au kasai

Sentensi moja,ina lingala,ina franc,ina kiluba,na swahili mbovu
 
Watanzania ni wakarimu sana ni rahisi sana raia yeyote kutoka nchi yoyote ile kuishi Tanzania kwa amani sana bila bughudha ata kama alitumia njia za panya kuingia Tanzania.
 
Hivi sisi Wakongo na Watanzania hua tuna asili moja au?

Yaani mkongo kama mimi hivi

Nikiwa safarini nikikutana na raia wa INCH nyingine tofauti na Tanzania hua nahisi mwili wangu una kabaridi fulani hata kama tunaongea lugha moja utakuta sina shauku kabisa ya kuona nipo na mwenzangu.

Na hata kwa majanga mengi ambayo yanatukuta mara nyingi wa Tz wamekuwa mstari wa mbele kutufuta macho au kutuonea huruma.
Hao wanakula nyani,tumbili,bundi,sokwe..maisha yao 80% wanategemea ndumba
 
Hivi sisi Wakongo na Watanzania hua tuna asili moja au?

Yaani mkongo kama mimi hivi

Nikiwa safarini nikikutana na raia wa INCH nyingine tofauti na Tanzania hua nahisi mwili wangu una kabaridi fulani hata kama tunaongea lugha moja utakuta sina shauku kabisa ya kuona nipo na mwenzangu.

Na hata kwa majanga mengi ambayo yanatukuta mara nyingi wa Tz wamekuwa mstari wa mbele kutufuta macho au kutuonea huruma.
Tuko na zari edosha hapa bajeti nyinyi ni ndugu zetu hasimu wetu tolu
 
Back
Top Bottom