herrypeter1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2009
- 223
- 29
DAH, Katika pita pita zangu nimegundua kuwa wanawake ambao wanaishi maisha ambayo baba ayupo I mean wale wenye maisha ya kubahatisha utakuta kamaliza four yupo yupo ajielewi anakuwa malaya sana,
Kuna kisa kimoja ambacho kimetokea mtaani demu mmoja alikuwa na washkaji kama wanne na kila jamaa anamjua kwa jina lake, so imekuja kugundulika kwamba kati ya ao alio nao wawili wanafaamiana katika kuongea uku na uku wakaja gundua wa date demu mmoja, so jamaa kumfuata uyo dem na kumuanzishia zali..............
But swali la msingi ivi kwa nini mabinti wa siku izi wamekuwa malaya sana na msemo wao wa siku IZI MJINI MIPANGO? JE wako yukoje chunguza ujue je ni kama awa wa MJINI MIPANGO.
Kuna kisa kimoja ambacho kimetokea mtaani demu mmoja alikuwa na washkaji kama wanne na kila jamaa anamjua kwa jina lake, so imekuja kugundulika kwamba kati ya ao alio nao wawili wanafaamiana katika kuongea uku na uku wakaja gundua wa date demu mmoja, so jamaa kumfuata uyo dem na kumuanzishia zali..............
But swali la msingi ivi kwa nini mabinti wa siku izi wamekuwa malaya sana na msemo wao wa siku IZI MJINI MIPANGO? JE wako yukoje chunguza ujue je ni kama awa wa MJINI MIPANGO.